ni kweli kabisa mkuu,,Miongoni mwa mambo yanayonikera humu JF, ni pale mtu akiwa na shida anaileta humu baada ya hapo, anatokomea kizani.
Mtoa msaada anakuwa hajui kama jamaa kafanikiwa au la.
Kwani kuna ugumu gani mtu akifanikiwa akaleta feedback?
Ni jambo dogo tu la kiungwana lakini.
Miongoni mwa mambo yanayonikera humu JF, ni pale mtu akiwa na shida anaileta humu baada ya hapo, anatokomea kizani.
Mtoa msaada anakuwa hajui kama jamaa kafanikiwa au la.
Kwani kuna ugumu gani mtu akifanikiwa akaleta feedback?
Ni jambo dogo tu la kiungwana lakini.
jamani naombeni kama kuna mtu anajua nitapataje sound drivers za compaq hp