Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nathubutu kusema hivi.
Ati anasema "mtoto wa kike akimaliza darasa la 12 japo hatofaulu kupata nafasi ya kwenda kidato cha 5 angalau atakuwa amepata uwezo wa kuchagua mwanamume".
hii ni akili kweli? waziri anazungumza pumba kama hizi kwenye chombo cha habari kikubwa kama BBC mbele ya masikio ya watanzania wote (bbc inasikika hata vijijini)?
kumbe serikali yake inafundisha watoto wetu kuchagua wanaume? yaani serikali ya JK inafundisha Kicheni Pati?
mnisamehe wanajamvi.labda nimemuelewa vibaya huyu mama.
kwa mtizamo wangu huyu mama ni bogus na hapaswi kupewa nafasi ya kuwa waziri.
Ati anasema "mtoto wa kike akimaliza darasa la 12 japo hatofaulu kupata nafasi ya kwenda kidato cha 5 angalau atakuwa amepata uwezo wa kuchagua mwanamume".
hii ni akili kweli? waziri anazungumza pumba kama hizi kwenye chombo cha habari kikubwa kama BBC mbele ya masikio ya watanzania wote (bbc inasikika hata vijijini)?
kumbe serikali yake inafundisha watoto wetu kuchagua wanaume? yaani serikali ya JK inafundisha Kicheni Pati?
mnisamehe wanajamvi.labda nimemuelewa vibaya huyu mama.
kwa mtizamo wangu huyu mama ni bogus na hapaswi kupewa nafasi ya kuwa waziri.