Sophia Simba ni Waziri Bogus

Ebwana nakuunga mkono kwa ulichosema.
Yaani huwezi amini ni waziri naamini ni msomi anaongea kama (samahani)mwanamama wa uswazi ambaye hana elimu zaidi ya std 7 ya bongo.
Nimemsikiliza nikawa naona aibu mimi. Wa rwanda ameongea vizuri tena kiswahili kilichonyooka, mama Nkya nae ameongea freah lakini huyu 'so called' waziri anatuaibisha.
hivi kumbe ni msomi naye huyu. Aliuzwa SADC kirefu chake nini akajibu aahm... sijui, watu wengi hawajui
 
huyu mama ni aibu tupu. na kinachonishangaza ni kwamba NI LAZIMA APATE UONGOZI pamoja na ubogus wake. Mpaka napata mashaka kati ya fikra zake na namna anavyopata uongozi
 
Jamani hivi Rais wetu anatumia vigezo gani kuchagua watendaji wake hasa ukizingatia Mama huyu ni WAZIRI kwakweli hafai kuwa hata diwani.Nimesikiliza mjadala huo mwanzo hadi mwisho bahati mbaya nimeshindwa kurekodi.Kwakweli huyu mama amezungumza pumba inatia aibu.Anaulizwa kuhusu mipango,mikakati na mafanikio yeye anazungumzia sherehe na kwamba sherehe ni vigumu kufanyika kila kijiji.Ukimsikiliza mshiri kutoka Rwanda moja kwa moja utaelewa kwanini wanafanikiwa,mtu maki anaelewa anachokizungumza kwake ni rahisi kuelezea mikakati,mipango na mafanikio.Kwani kwao mipango ipo,mikakati ipo,watendaji makini wapo na hatima yake mafanikio ndio maana katika kipindi kifupi baada ya kutoka katika vita wamepiga hatua kubwa katika sekta zote.Katika nchi yetu ambayo pamoja na amani na utulivu kwa watendaji kama hawa wakina Sophia Simba cha kusikitisha asilimia 99 pamoja na Rais mwenyewe JK uwezo wao wa kuoongoza ni dhaifu nchi yetu inapiga hatua kurudi nyuma.Inasikitisha MUNGU IBARIKI TANZANIA.

ndugu yangu umetoa maneno ya ukweli,watendaji wengi wa serikali hawana akili pamoja na huyo jk,ndo maana hata tunazidi kuwa masikini kwa kila sehemu.
 
Nathubutu kusema hivi.

Ati anasema "mtoto wa kike akimaliza darasa la 12 japo hatofaulu kupata nafasi ya kwenda kidato cha 5 angalau atakuwa amepata uwezo wa kuchagua mwanamume".

hii ni akili kweli? waziri anazungumza pumba kama hizi kwenye chombo cha habari kikubwa kama BBC mbele ya masikio ya watanzania wote (bbc inasikika hata vijijini)?

kumbe serikali yake inafundisha watoto wetu kuchagua wanaume? yaani serikali ya JK inafundisha Kicheni Pati?

mnisamehe wanajamvi.labda nimemuelewa vibaya huyu mama.

kwa mtizamo wangu huyu mama ni bogus na hapaswi kupewa nafasi ya kuwa waziri.

Mkuu ... huyu mama nahisi bwana mkubwa ANAMKAZA, sababu huwezikuwa na waziri mwenye dhamana kubwa ambaye ni mbumbu kiasi hiki unless unamaslahi mengine.......ni bogus kupita maelezo.Mwanzoni nilifikiri labda anateleza siku mojamoja, lakini sasa ndio nimeamini huyu mama ni hamnazo. Eti ndio mwakilishi wetu SADEC . Uhuni mtupu.......
 
Kwa kweli bora hata binti wa primary angeweza kujieleza vizuri kuliko huyo mama......eti watakuwa na uwezo wa kuchagua mume wakimaliza darasa la 12, mbona wanafunzi hata wa primary mabinti huwa wanajieleza vizuri tu.......
 
Mkuu ... huyu mama nahisi bwana mkubwa ANAMKAZA, sababu huwezikuwa na waziri mwenye dhamana kubwa ambaye ni mbumbu kiasi hiki unless unamaslahi mengine.......ni bogus kupita maelezo.Mwanzoni nilifikiri labda anateleza siku mojamoja, lakini sasa ndio nimeamini huyu mama ni hamnazo. Eti ndio mwakilishi wetu SADEC . Uhuni mtupu.......

Ndio kufanya nini???
 
Huyu Mama si ndiye aliye waambia akina Mama wengine eti kama waume zao hawataipigia sisiemu wawanyime unyumba?
 
Baba wa kaya ashawai kusema kwenye mkutano ulojaa watu wa rika mbalimbali kuwa shughuli ile (ngono) sio dharula, Akaja festi Ledi akasema wanafunzi wanaopata mimba ni vielehele vyao na wasichukue waume wao, Na sasa imefatia simolo hausi ya Baba wa kaya maneno mmeyasikia, Sasa mnategemea nchi iongozwe na malaika gani kama sio Freemason????
 
Back
Top Bottom