Zogolo1550
Member
- Dec 2, 2018
- 32
- 15
Sony xperia xz1 inauzwa.
RAM 4GB na storage 64GB
200000TZS
0758700852
RAM 4GB na storage 64GB
200000TZS
0758700852
Ina kaa na chaji muda gani?Haijapasuka iko poa kabisa
Chaji inategemea na matumizi ya mtuIna kaa na chaji muda gani?
Chaji inategemea na matumizi ya mt
Simu inayokaa na chaji inajulikana, mfano mzuri ni tecno au infinix je, hio simu ina kiwango kile cha uhimilivu wa kutunza umeme?
Au ndo ile ikikaa mkononi ndani ya lisaa limoja ishafika 53%?
Dah unanitoa kwenye reli brooMbona nyuma Haina mfuniko
Matumizi makubwa kwa mujibu wako ni yapi? Jibu pleaseKama huna matumizi makubwa unamaliza siku