Phone4Sale Sony Xperia XZ1

Zogolo1550

Member
Dec 2, 2018
32
15
Sony xperia xz1 inauzwa.
RAM 4GB na storage 64GB
200000TZS
0758700852

1655962496434.png
 
Simu inayokaa na chaji inajulikana, mfano mzuri ni tecno au infinix je, hio simu ina kiwango kile cha uhimilivu wa kutunza umeme? Maana haya masimu licha ya ubovu na kustack ila unaweza ukacheza nalo kiganjani siku nzima data on na ukafika nyumbani kwako lina 31%

Hio Sony ikoje au ndo ile simu ikikaa kiganjani ndani ya lisaa limoja ishafika 53%? toka 100%
Chaji inategemea na matumizi ya mt
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom