Sony xperia m, mfano wa kuigwa kwa simu za bei ndogo

Hizi simu Xperia zishaingia bongo?available still? Na bei zishakuwa confirmed? Naomba kujulishwa coz nahitaji by next week niingie sokoni kutafuta simu nzuri portable
 
Mkuu najua nipo nje na theard yako nisamehe....

Naomba unisaidiea ni browse gani ya android ambayo naweza kufanya transition kutoka Swahili kwenda English au English kwenda Swahili mfano niwapo jf.?

Jaribu chrome browser..
 
mkuu kwa 1750 mah si betry nzuri wala sio mbaya kwa matumizi ya kawaida itakaa siku nzima ila kama unatumia sana haimalizi. kama unapenda simu inayokaa sana na chaji ambayo ni smartphone ya maana angalia simu hizi.

lenovo p770
hii ndo kali zaidi ya yote battery 3500mah ina talk time masaa 29(zaidi ya siku) simu kama hii ndo inaweza kaa wiki

motorola razr maxx
huyu naye anamfatia kwa karibu lenovo na 3300mah hii pia nzuri inakaribiana na ya hapo juu

Yap hii imetulia sana,
Em nipe dondoo ya hiz sim, nazo naona zimenivutia sana, ingawa upatikanaji wake Tz na Bei zake bado sijazipata sawasawa..

1. Lenovo A830
2. Micromax A116 canvas HD
3. ZTE Grand X Pro

Kwa kifupi, Napenda
>Dual sim
>Int memory/ Ram ya kutosha
>Camera nzur, 5 px na kuendelea hasa 8 px
>Ndogo (Dimension)
>Batter power, kuanzia 2000
>Iwe imetolewa mwaka huu, 2013
>Na mambo mengine ya kisasa

Nadhan mpaka hapo, umeshapata picha kwanin hizo zimenivutia.

Thanx

mdahavyose@hotmail.com
 
Huawei Y300 ndio itakuwa ya bei ndogo zaidi. Ina spcs zote za hiyo Xperia M, ila ram tu ni 520Mb. Na imeongezwa sratch resistant screen. Bei 198,000TZS
 
Yap hii imetulia sana,
Em nipe dondoo ya hiz sim, nazo naona zimenivutia sana, ingawa upatikanaji wake Tz na Bei zake bado sijazipata sawasawa..

1. Lenovo A830
2. Micromax A116 canvas HD
3. ZTE Grand X Pro

Kwa kifupi, Napenda
>Dual sim
>Int memory/ Ram ya kutosha
>Camera nzur, 5 px na kuendelea hasa 8 px
>Ndogo (Dimension)
>Batter power, kuanzia 2000
>Iwe imetolewa mwaka huu, 2013
>Na mambo mengine ya kisasa

Nadhan mpaka hapo, umeshapata picha kwanin hizo zimenivutia.

Thanx

mdahavyose@hotmail.com

Unaweza tembelea www.gsmarena.com. Hapo kila simu utaipata ikiwa na specs zake za kutosha pamoja na comments zinazohusu simu husika kwa wale ambao wameshazitumia.
 
Huawei Y300 ndio itakuwa ya bei ndogo zaidi. Ina spcs zote za hiyo Xperia M, ila ram tu ni 520Mb. Na imeongezwa sratch resistant screen. Bei 198,000TZS

kaka nimeelezea hapo juu huwezi fananisha cortex na krait ni miziki miwili tofauti though zote ni 1ghz dualcore ila xperia m ina power zaidi ya mara 2 ya y300 kaangalie youtube gaming review yake uone inavyohandle games kubwa
 
Yap hii imetulia sana,
Em nipe dondoo ya hiz sim, nazo naona zimenivutia sana, ingawa upatikanaji wake Tz na Bei zake bado sijazipata sawasawa..

1. Lenovo A830
2. Micromax A116 canvas HD
3. ZTE Grand X Pro

Kwa kifupi, Napenda
>Dual sim
>Int memory/ Ram ya kutosha
>Camera nzur, 5 px na kuendelea hasa 8 px
>Ndogo (Dimension)
>Batter power, kuanzia 2000
>Iwe imetolewa mwaka huu, 2013
>Na mambo mengine ya kisasa

Nadhan mpaka hapo, umeshapata picha kwanin hizo zimenivutia.

Thanx

mdahavyose@hotmail.com

kaka tatizo siku hizi jinsi dimension inavyokua ndogo basi na simu ndo inazidi kua mbaya. simu zenye specs kubwa basi nazo zina dimension kubwa.

hapa nimepata simu moja tu ambayo atleast inakidhi mahitaji yako.

lenovo p700i
lenovo-p700i.jpg


battery: 2500mah
processor: 1ghz dualcore cortex a9
ram: 512mb
internal: 4gb
camera: 5mp
screen: 4inch

dimension ni ndogo na specs ndo hizo nafkiri hii ndo itakufaa

bei ni kuestimate na upatikanaji sijui upoje ila ni around laki 3
 
kaka nimeelezea hapo juu huwezi fananisha cortex na krait ni miziki miwili tofauti though zote ni 1ghz dualcore ila xperia m ina power zaidi ya mara 2 ya y300 kaangalie youtube gaming review yake uone inavyohandle games kubwa

Na kwa bei je? By the way how bei ndogo is ndogo? Maana laki 1 na 4 sio gap dogo.
 
Na kwa bei je? By the way how bei ndogo is ndogo? Maana laki 1 na 4 sio gap dogo.

195,000 hii ni bei ya tigo na 400,000 nimei overprice bei halisi ni 337,000

ukitoa lumia 520 na 620 ambazo si android hakuna simu inayoifikia kwa specs xperia m huo ndo ukweli hebu ngoja kidogo nikupe brief kidogo

1. xperiam ina krait dualcore y300 ina cortex za kawaida (krait ndo processor ya moto x, gs3, htc one x, lumia 920, 925, 928, 1020, xperia z, htc one, gs4, lg g2 na simu zote kubwa)

2. xperia m ina ram 1gb y300 ina ram 512mb

3. camera ya xperia m inachukua hd katika 720p wakati y300 inachukua 480p tu

4.gpu, xperia m ina andreno 305 wakati y300 ina adreno 203. hapa xperia m inarun games zote kubwa wakati y300 unabahatisha hata asphalt sidhani kama itakubali

5. xperia m ipo compatible na html5 wakati y300 ni html kawaida (3rd party zipo)

6. battery, japo battery zinafanana ila kwenye xperia m unapata 10 hrs za kuongea wakati y300 ni masaa 5 tu.

7. sensor xperia m inazo tatu accelerometer, proximity na compass wakati y300 haina compass sensor

8. nfc (near field communication) xperia m inayo wakati y300 haina nfc

9.feature za camera ya xperim m ina panorama, geo taging, hdr, image stabilization wakati y300 ina geo taging tu

10. quality ya sony ni kubwa kuliko huawei

hizo ni 10 za fasta fasta ukitaka zinaendelea
 
195,000 hii ni bei ya tigo na 400,000 nimei overprice bei halisi ni 337,000

ukitoa lumia 520 na 620 ambazo si android hakuna simu inayoifikia kwa specs xperia m huo ndo ukweli hebu ngoja kidogo nikupe brief kidogo

1. xperiam ina krait dualcore y300 ina cortex za kawaida (krait ndo processor ya moto x, gs3, htc one x, lumia 920, 925, 928, 1020, xperia z, htc one, gs4, lg g2 na simu zote kubwa)

2. xperia m ina ram 1gb y300 ina ram 512mb

3. camera ya xperia m inachukua hd katika 720p wakati y300 inachukua 480p tu

4.gpu, xperia m ina andreno 305 wakati y300 ina adreno 203. hapa xperia m inarun games zote kubwa wakati y300 unabahatisha hata asphalt sidhani kama itakubali

5. xperia m ipo compatible na html5 wakati y300 ni html kawaida (3rd party zipo)

6. battery, japo battery zinafanana ila kwenye xperia m unapata 10 hrs za kuongea wakati y300 ni masaa 5 tu.

7. sensor xperia m inazo tatu accelerometer, proximity na compass wakati y300 haina compass sensor

8. nfc (near field communication) xperia m inayo wakati y300 haina nfc

9.feature za camera ya xperim m ina panorama, geo taging, hdr, image stabilization wakati y300 ina geo taging tu

10. quality ya sony ni kubwa kuliko huawei

hizo ni 10 za fasta fasta ukitaka zinaendelea

Y300 Panorama inayo. Hivyo vingine labda muda zaidi wa kukagua. Vipi Samsung Galaxy Advanced. Na yenyewe ni 350, bei ya kutaja. Kwa kupiga domo 335.
 
Jamani,samahani kwa kuingilia mada husika naomba mnisaidie hivi naweza kupata simu yenye touch screen model yoyote bei ya 80,000/=hapa bongo! Msaada tafadhari
 
Y300 Panorama inayo. Hivyo vingine labda muda zaidi wa kukagua. Vipi Samsung Galaxy Advanced. Na yenyewe ni 350, bei ya kutaja. Kwa kupiga domo 335.

advance ipo kati kati ya y300 na xperia m still nayo ni dual core cortex 9, ina ram 756mb. sio mbaya sana
 
Mkuu nimeona hawajamaa Sony wanatangaza xperia waterprof imewekwa kwenye beseni inamwgiwa maji tunaomba utupe speciation ya hiyo mkuu hatuna tulijualo kiundani kiongozi
Ubarikiwe sana mkuu

hili neno "ubarikiwe" muwe mnaaangalia na matumizi yake.
 
Jamani,samahani kwa kuingilia mada husika naomba mnisaidie hivi naweza kupata simu yenye touch screen model yoyote bei ya 80,000/=hapa bongo! Msaada tafadhari

Yaap!! Android za kichina zenye 2.3 kushuka chini !! Au used ideos na vodafon smart used unapata kwa bei hzo!!
 
iangalie hii hapa. bongo inauzwa laki 1 na 95 tu.
na ina specification nzuri tu
X405_Xtouch | touch the world

Specifications
Item Item Description
Detail System Android 4.1
CPU MTK6577 1.2GHz Dual Core
GPU Integrated Graphic Card
Memory 512MB
Storage 4GB NAND Flash
External Storage Support 32GB Micro TF Card
Display Screen Size 4inch
Resolution 800×480
Touch Screen 5 points Capacitive Touch Screen
Language Arabic, English, Chinese,French,23 languages,etc.
Battery


Recharge Type Adapter or USB Cable
Battery Type Rechargeable Lithium Battery
Capacity Dual 1400mah lithium battery
Network WiFi 802.11b/g wireless internet
3G WCDMA:2100
Bluetooth Bluetooth 2.2 technology , A2DP Sound recorder
GSM GSM900/1800MHZ
I/O Audio 3.5 mm standard OMTP
Video Support most video type,3D Video play
USB Micro USB
Charger Type 110V-220V Input,5V,DC 0.5A Output
Camera Front camera 0.3 Megapixel,back camera 5 Megapixel
Mic & speaker Inside
SIM card Dual SIM cards dual standby
Function Video Support 3GP,MP4,RMVB formats
Audio Support MP3,FM
Business Office software,Arabic keyboard,Skype,QQ, MSN,Skype,G-talk,Yahoo,Gmail,Hotmail
GPS Support
Sensors Accelerometer
Others Dimensions 122*63*12.5 mm
Weight 107 g
 
iangalie hii hapa. bongo inauzwa laki 1 na 95 tu.
na ina specification nzuri tu
X405_Xtouch | touch the world

Specifications
Item Item Description
Detail System Android 4.1
CPU MTK6577 1.2GHz Dual Core
GPU Integrated Graphic Card
Memory 512MB
Storage 4GB NAND Flash
External Storage Support 32GB Micro TF Card
Display Screen Size 4inch
Resolution 800×480
Touch Screen 5 points Capacitive Touch Screen
Language Arabic, English, Chinese,French,23 languages,etc.
Battery


Recharge Type Adapter or USB Cable
Battery Type Rechargeable Lithium Battery
Capacity Dual 1400mah lithium battery
Network WiFi 802.11b/g wireless internet
3G WCDMA:2100
Bluetooth Bluetooth 2.2 technology , A2DP Sound recorder
GSM GSM900/1800MHZ
I/O Audio 3.5 mm standard OMTP
Video Support most video type,3D Video play
USB Micro USB
Charger Type 110V-220V Input,5V,DC 0.5A Output
Camera Front camera 0.3 Megapixel,back camera 5 Megapixel
Mic & speaker Inside
SIM card Dual SIM cards dual standby
Function Video Support 3GP,MP4,RMVB formats
Audio Support MP3,FM
Business Office software,Arabic keyboard,Skype,QQ, MSN,Skype,G-talk,Yahoo,Gmail,Hotmail
GPS Support
Sensors Accelerometer
Others Dimensions 122*63*12.5 mm
Weight 107 g

sio mbaya kwa bei hio, hii ina specs kali kuliko y300 na n7 tecno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom