Jipatie simu tajwa hapo juu kwa bei nafuu kabisa. Ni Sony Xperia M (c2005) duos. Kama inavyojieleza simu hii ni double line. Kwa kifupi Specs zake ni
OS Android 4.2.2
CPU duo cores processor,krait (moja ya CPU nzuri sana)
Battery 1750 mAh.
For more details concerning the phone you may visit GSMArena.com - GSM phone reviews, news, opinions, votes, manuals and more... cheki na pia hata opinions za users nyingi sana ni positive which means simu ni nzuri sana.
Simu bado ni mpya kabisa ina siku nne tangu niletewe kutoka Uingereza, ipo katika hali nzuri sana na hata makasha yake haijafunguliwa vizuri, mfano head phones bado zimefungwa hadi leo, bado lile kasha la display lipo kwenye simu.
Najua kuna wale wa kuuliza sababu kwanini naiuza, ni kuwa naiuza ili nipate pesa ya kuongezea nipate Galaxy note so simu haina tatizo lolote lile kwa ufupi.
They say picture paints a thousand words, so mzigo ndio kama unavyoonekana hapo chini.
So wadau kama vile mnavyoona baadhi ya hizo picha ila sema net ipo chini sana so hizo ni baadhi tu ya hizo picha za mzigo. Bei ni 335000.
Napatikana Dar. For business enquiries call please send a pm or check on me through 0686942248.
karibuni sana wadau.
OS Android 4.2.2
CPU duo cores processor,krait (moja ya CPU nzuri sana)
Battery 1750 mAh.
For more details concerning the phone you may visit GSMArena.com - GSM phone reviews, news, opinions, votes, manuals and more... cheki na pia hata opinions za users nyingi sana ni positive which means simu ni nzuri sana.
Simu bado ni mpya kabisa ina siku nne tangu niletewe kutoka Uingereza, ipo katika hali nzuri sana na hata makasha yake haijafunguliwa vizuri, mfano head phones bado zimefungwa hadi leo, bado lile kasha la display lipo kwenye simu.
Najua kuna wale wa kuuliza sababu kwanini naiuza, ni kuwa naiuza ili nipate pesa ya kuongezea nipate Galaxy note so simu haina tatizo lolote lile kwa ufupi.
They say picture paints a thousand words, so mzigo ndio kama unavyoonekana hapo chini.
So wadau kama vile mnavyoona baadhi ya hizo picha ila sema net ipo chini sana so hizo ni baadhi tu ya hizo picha za mzigo. Bei ni 335000.
Napatikana Dar. For business enquiries call please send a pm or check on me through 0686942248.
karibuni sana wadau.