Sony xperia m, mfano wa kuigwa kwa simu za bei ndogo

Jamani vp kuhusu uwezo wa hiyo simu hasa kwenye upande wa chaji manake Samsung zinaboa si kitoto yaani...

mkuu kwa 1750 mah si betry nzuri wala sio mbaya kwa matumizi ya kawaida itakaa siku nzima ila kama unatumia sana haimalizi. kama unapenda simu inayokaa sana na chaji ambayo ni smartphone ya maana angalia simu hizi.

lenovo p770
hii ndo kali zaidi ya yote battery 3500mah ina talk time masaa 29(zaidi ya siku) simu kama hii ndo inaweza kaa wiki

motorola razr maxx
huyu naye anamfatia kwa karibu lenovo na 3300mah hii pia nzuri inakaribiana na ya hapo juu
 
mkuu kwa 1750 mah si betry nzuri wala sio mbaya kwa matumizi ya kawaida itakaa siku nzima ila kama unatumia sana haimalizi. kama unapenda simu inayokaa sana na chaji ambayo ni smartphone ya maana angalia simu hizi.

lenovo p770
hii ndo kali zaidi ya yote battery 3500mah ina talk time masaa 29(zaidi ya siku) simu kama hii ndo inaweza kaa wiki

motorola razr maxx
huyu naye anamfatia kwa karibu lenovo na 3300mah hii pia nzuri inakaribiana na ya hapo juu

Chief mkwawa hizi lenovo zinapatikana hapa kwetu tz
 
yah kweli mkuu watu wengi wanalalamikia hilo,
wanatatizo la betri pia....charge inakata faster! japo umeicharge vizuri for the first tym na umedisable baadhi kama wireless, gps, etc ili kusave charge kama wanavyo kushauri kwenye manual yao!
 
Inajitahidi ila bado front camera quality ni VGA ambayo siyo nzuri vile vile ni dual core processor, saiz watu wanataka quad core processors kwa ajili ya kuhimili heavy games kama asphalt 7 na multitasking ila kwa moderate user ni simu nzuri sana. Kama ni Mimi ningeenunua XOLO Q800 better specs with same or less price an ni quadcore phone clocked at 1.2 quahz na ina Sony camera with 8mp na 2100mhr battery its verry nice phone than u cant even imagin sema ndo ivo mpaka India...
 
Inajitahidi ila bado front camera quality ni VGA ambayo siyo nzuri vile vile ni dual core processor, saiz watu wanataka quad core processors kwa ajili ya kuhimili heavy games kama asphalt 7 na multitasking ila kwa moderate user ni simu nzuri sana. Kama ni Mimi ningeenunua XOLO Q800 better specs with same or less price an ni quadcore phone clocked at 1.2 quahz na ina Sony camera with 8mp na 2100mhr battery its verry nice phone than u cant even imagin sema ndo ivo mpaka India...

kaka sijui kama unaelewa unachoongea unaposema vga unamaanisha 640x480 na simu hii ni 854x480 inamaana vyote ni 480p, kamera yoyote kuzidi hapo itakua ni wastage of resource kwenye video call, labda useme utumie camera ya mbele kupigia picha za kawaida kitu ambacho pia hakina maana sababu camera ya nyuma ipo.

kuhusu processor hiyo ni krait mziki mkubwa inshort ni powerfull kuliko mediatek quadcore hiyo ya 1.2ghz ambayo ni arm-v7. yani hapo ni kama unajisifia una pentium 4 yenye 3ghz wakati mwenzako ana i7 1.3ghz
 
mkuu nimeshafanya makisio, simu hii ipo madukani india rupia 12999 na rate ya google ni rupia 1 kwa sh 26 za kibongo ukipiga mahesabu unapata kama 337,000. hapo nikaestimate kwenda laki 4 nafkiri ni fair au we unaonaje.

Mkuu najua nipo nje na theard yako nisamehe....

Naomba unisaidiea ni browse gani ya android ambayo naweza kufanya transition kutoka Swahili kwenda English au English kwenda Swahili mfano niwapo jf.?
 
Mkuu najua nipo nje na theard yako nisamehe....

Naomba unisaidiea ni browse gani ya android ambayo naweza kufanya transition kutoka Swahili kwenda English au English kwenda Swahili mfano niwapo jf.?

mkuu tumia proxy za google translator kwenye browser yoyote.

mfano unataka utranslate page hii iwe kingereza copy adress yake halafu nenda translate.google.com then paste adress chagua lugha then itabadilika.
 
mkuu kwa 1750 mah si betry nzuri wala sio mbaya kwa matumizi ya kawaida itakaa siku nzima ila kama unatumia sana haimalizi. kama unapenda simu inayokaa sana na chaji ambayo ni smartphone ya maana angalia simu hizi.

lenovo p770
hii ndo kali zaidi ya yote battery 3500mah ina talk time masaa 29(zaidi ya siku) simu kama hii ndo inaweza kaa wiki

motorola razr maxx
huyu naye anamfatia kwa karibu lenovo na 3300mah hii pia nzuri inakaribiana na ya hapo juu

Umesahau Galaxy Note II. Samahani kama nimekosea.
 
mkuu nimeshafanya makisio, simu hii ipo madukani india rupia 12999 na rate ya google ni rupia 1 kwa sh 26 za kibongo ukipiga mahesabu unapata kama 337,000. hapo nikaestimate kwenda laki 4 nafkiri ni fair au we unaonaje.

Umekosea kaka india karibu vitu vyote wanavyouza kwao ni bei cheee vibaya mno nj afadhali ungeangalia soko la US au UK ndo utajua bongo itauzwa bei gani coz india hyo hwataiexport kwa gharama hyo ulolioiconvert
 
Umekosea kaka india karibu vitu vyote wanavyouza kwao ni bei cheee vibaya mno nj afadhali ungeangalia soko la US au UK ndo utajua bongo itauzwa bei gani coz india hyo hwataiexport kwa gharama hyo ulolioiconvert

sjui hata kama umesoma hio coment yangu, nimesema india inauzwa 337,000 bei niliyoestimate ni laki 4 nimeongeza 63,000 still nipo wrong?

nimeeka makisio hayo baada ya kufanya comparison zakutosha tu
 
Umesahau Galaxy Note II. Samahani kama nimekosea.

mkuu hizi zinaingia category ya phablet, nyingi zinakaa sana na chaji sababu umbo kubwa linafanya battery kubwa iingie. watu wengine hawapendi kuongelea simu na simu kubwa
 
Mie nimesoma sehemu nyingi hizi smartphone watu wanataka kuzichukulia kama masimu mengi ya zamani, wanasahau kuwa utumikaji wake ni mkubwa na betry nyingi zake wanashauri kuwa mtu usisubiri charge ikaisha inabidi kuiweka idumu kwa kuichaji hata kabla haijaanza kukupigia kelele ya kutaka kujizima, unaiongezea wakati hata ipo nusu etc
Na kwa mendo huo basi itadumu kama kawaida, ila pia sio kuacha kwa charger kila mara au kwa muda mrefuuuuuuu unaiua mwenyewe.

Tena kwa mwaka huu nitaanza tena ku browse kuona kama kunamabadiliko, forum kibao mtandaoni wanaongelea mtu unajifunza mengi.
 
ninaposema bei ndogo simaanishi bei ndogo kabisa ni around laki 4 japo inaweza kupungua kidogo, mara ya kwanza nilipoiona sikuamini vitu unavyopata na bei unayolipa. nafkiri simu hii sasa itawafanya manufacture wengine kama samsung na lg kuamka.
sony-xperia-m-2.jpg

specs
processor; 1ghz dualcore s4plus krait
ram; 1gb
graphics; adreno 305
camera; 5megapixel na ya mbele ipo
battery; 1750 mah
display; kioo inch 4 tft na resolution 854x480
storage; 4gb na memory card hadi 32gb
os; android 4.1 jellybean

hii ndio simu yako kama unataka simu yenye uwezo mkubwa kwa hela ndogo

sony-xperia-m.jpg

Mkuu nimeona hawajamaa Sony wanatangaza xperia waterprof imewekwa kwenye beseni inamwgiwa maji tunaomba utupe speciation ya hiyo mkuu hatuna tulijualo kiundani kiongozi
Ubarikiwe sana mkuu
 
Mkuu nimeona hawajamaa Sony wanatangaza xperia waterprof imewekwa kwenye beseni inamwgiwa maji tunaomba utupe speciation ya hiyo mkuu hatuna tulijualo kiundani kiongozi
Ubarikiwe sana mkuu

mkuu hio ishaongelewa humu ilitoka tokea mwezi wa 1 jaribu kusearch ila ni simu ya bei kidogo
 
Hivi Sony Ericsson ame copy hii?

hakuna simu za sony ericson siku hizi. hizi zilikua kampuni mbili sony na erricson siku hizi hazifany kazi pamoja tena kuna sony tu. ericson yeye anaendelea na mambo yake ya network hatengenezi tena hardware za simu
 
hakuna simu za sony ericson siku hizi. hizi zilikua kampuni mbili sony na erricson siku hizi hazifany kazi pamoja tena kuna sony tu. ericson yeye anaendelea na mambo yake ya network hatengenezi tena hardware za simu

Nimekupata mi ninayo hapa hiyo mwaka wa 3 sasa nakula bata JF popote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom