Nakelwa sana na baadhi ya wanafunzi na wanavyuo kushindwa kutunza usafi ktk taasisi hizo. Kwa mfano: utumiaji wa vyoo ktk hali ya usafi,uharibifu wa mabweni, hostels,madarasa na samani zilizomo. Na imani wakielimishwa tutaokoa afya zao na watastaarabika.
sisi tuliofundishwa Sayansi-kimu na Maarifa ya Nyumbani mambo yetu safi tu,tunafahamu kubrashi viatu,kutengeneza mswaki wa mti,kuondoa madoa kwenye nguo kwa kutumia limao,kushona kwa mikono n.k. Big up Mwl.Christina!
nakubalina na wewe asilimia mia mbili na hamsini! block nayokaa! especially wing yetu ni balaa tupu! kuna wanavyuo walevi ambao wmwgeuza masinki ya kuswakia kuwa spesho for kukojolea! aisee inakera! wengine mabafu wamegeuza vyoo! mimi naona itabidi kozi ya usafi ianzishwe vyuoni aiseeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.