Ukitangulia mbele za haki nani atatunza familia?
Mwanamke tulizo kwa Mumewe imagine nimechoka na Mistress kibao ya Kimaisha na kishughuli unarudi home eti na Mke nae hayupo kaenda kazini.Thubuutuuuuu
Nasema ivii kwangu hamna kufanya kazii...
unaongea pumba hizo, unafikiri wazazi wake waliomsomesha watakubali, kwa sababu wamemsomesha mtoto wao aje awasaidie, ww umuachishe kazi, unaota ndoto za alinacha mchana kweupeeee!!!nachukizwa na tabia ya mwanamke kujifanya anataka kufanya kazi akati mie kama mumewe ndo natakiwa kumfanyia kila kitu tangu kula,kuvaa,kulala kwake ni mimi yan nasema ivi,we soma level zote mi nkikuoa hamna kufanya kaziii...
Nachukizwa na Tabia ya Mwanamke kujifanya anataka kufanya kazi akati mie kama Mumewe ndo natakiwa kumfanyia kila kitu tangu kula,kuvaa,kulala kwake ni Mimi yan nasema ivi,We soma level zote mi nkikuoa hamna kufanya kaziii...
Kwa hiyo mradi sio kazi?
Hiyo sentenso ya mwisho ndio kinachowasumbua, inferiority complex! Unaogopa kumwalizwa na mwanamke manake akiwa apeche utamnyanyasa hata ukitaka kumletea hawara mlale wote kitanda kimoja anakubali.
Hehehe mtasanda
'Siri' alikuepo jana usiku
saivi siko nae
mi siongei maana ndo kwanza husband anapambana nipate ajira. kama kuna mtu anayo anisaidie.
Anza kuwaachisha shule watoto wako wa kike kwanza hiyo itakuwa ni maandalizi mazuri kwao kwa maisha yao ya baadae maana wanapaswa wawe kama hivyo unavyotaka wewe
chaaa lanyeeeee....
wewe ni wa wapi una mawazo mgando namna hiyo.
Ngoja upate dhoruba kidogo ya afya au kazi then akili itakukaa sawa.
Ukitangulia mbele za haki nani atatunza familia?
Naona ataenda na remote control ili imsaidie kuendesha mambo duniani....