SWEET HUSBAND
Member
- Aug 22, 2012
- 97
- 57
thanx kaka!leo umenisaidia kujua kuwa umbea ni source of information but is not realiable to expose in public
asante kwa lugha zako za kebehi! mm si msomi sana ila najimudu vyema !Still una tatizo maybe umri au maybe elimu coz rejea tena darasani soma kuhusu
Grapevine,Rumour, Proxemics
Tatizo mitoto ya sasa hivi badala musome kwa bidii mnawaza kushabikia siasa na kugoma mnaajiriwa kazini mnakuwa vilaza hata kwenye mijadala kamaa hii mnaongea pumba
asante kwa lugha zako za kebehi! mm si msomi sana ila najimudu vyema !
inavyoelekea wewe ni mtoto flani wa mama ,unakaa tu home na kusikiliza umbea wa dada zako!
alafu unatuletea topic za ajabu jf!