Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Ndugu zangu naomba nitoe la moyoni kuhusu Air Tanzania Head office. Kama wakisoma na wakikasirika ni sawa tu. Sio wote humu ndani tunaishi Tanzania tuna book ticket online tunahitaji confirmation kuhusu ndege na kila kitu ila ukipiga simu kwanza wafanyakazi wana dharau sana tena sana na pia wanakata simu na hawajali kabisaa.
Sasa kama wana behave hivyo ina maana kesho nitakuja kukata ticket kwao tena??...Mnaleta nchi yetu down kwa faida zenu wenyewe.
Kwanza kabisa huyo Manager wa hapo HQ kama huna muda wa kuwafatilia wafanyakazi wako wanafanya kazi vipi then naomba ondoka kwenye hiyo nafasi na wafanyakazi ambao hawafanyi kazi wote waondoke.
Nimepiga simu zaidi ya mara 20 hazipokelewi na hawajali hata ku return calls back.
Serikali naomba mufatilie hili jambo maana tunapata shida sana na watu ambao hawajali tunatoa hela kwa safari ila customer service ni 00000 sasa mnategemea mtapata wateja vipi wakati hapo ofisini hamfanyi kazi kwa taifa letu.
Nimehuzunika sana tena sana na Mungu anawaona. Hata kama mpo busy mbona kampuni kubwa wanapokea simu zao muda wote?
Naomba mnijibu.
Sasa kama wana behave hivyo ina maana kesho nitakuja kukata ticket kwao tena??...Mnaleta nchi yetu down kwa faida zenu wenyewe.
Kwanza kabisa huyo Manager wa hapo HQ kama huna muda wa kuwafatilia wafanyakazi wako wanafanya kazi vipi then naomba ondoka kwenye hiyo nafasi na wafanyakazi ambao hawafanyi kazi wote waondoke.
Nimepiga simu zaidi ya mara 20 hazipokelewi na hawajali hata ku return calls back.
Serikali naomba mufatilie hili jambo maana tunapata shida sana na watu ambao hawajali tunatoa hela kwa safari ila customer service ni 00000 sasa mnategemea mtapata wateja vipi wakati hapo ofisini hamfanyi kazi kwa taifa letu.
Nimehuzunika sana tena sana na Mungu anawaona. Hata kama mpo busy mbona kampuni kubwa wanapokea simu zao muda wote?
Naomba mnijibu.