MTOTO KITAA
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 245
- 115
Wakuu habar! leo naomba nizungumze changamoto zangu na mpaka mafanikio ya hapa nilipofika, walengwa wakubwa ni ndugu zangu mwaka wa kwanza.lengo si kuwatisha, bali huwenda ukajifunza kitu.wazazi wangu kiujumla ni kundi la watu masikini,kitado cha kwanza mpaka cha nne, nilisoma kwa shida sana, ikifika kipindi cha kufukuzwa ada mi nilikuwa mmoja wapo, kwa mwaka mzima darasani nilikuwa nasoma miezi hata miez minne haifiki, sio kwamba sipend kukb darasani, bali ni kukosa ada huku nikifukuzwa darasani, nikajikaza mpaka nikamaliza kidato cha nne kwa mbinde sana, mungu akanijalia nikapata daraja la tatu, nilikosa point moja tu, niwe nimepata daraja la la pili, baati mbaya nilikosa kuchaguliwa kidato cha tano. nikapagawa sana,maana nilijua ndoto yangu imepotea, nilihuzunika sana! mama yangu alinifuata na kuniambia nitakupeleka kusoma advance huko tanga, ila kwa sababu sina pesa nitakopa kwa marafik zake, ada ya hiyo shule inaitwa ARAFA watu wanaotokea tanga wanaifahamu, ada yake ilikuwa rahisi sana, inaendelea....