Z zilo one New Member Aug 26, 2012 1 0 Aug 27, 2012 #1 hi..... jaman naomba msaada eti ni kweli wanaosoma sokoine university wana nafas kubwa ya kupata kazi nje ya nchi..........?
hi..... jaman naomba msaada eti ni kweli wanaosoma sokoine university wana nafas kubwa ya kupata kazi nje ya nchi..........?
Parata JF-Expert Member Jul 26, 2011 3,090 675 Aug 27, 2012 #2 kakudanganya nani kazi ni bahati na mihangaiko yako we lala tu subiri uitwe JAPAN
Michael Paul JF-Expert Member Nov 2, 2010 403 319 Aug 27, 2012 #3 mkuu hapo umelonga..!!! Mtu ni kuchacharika..
paul kitereja JF-Expert Member Jun 15, 2012 260 45 Aug 28, 2012 #4 acha kukariri ..hizo ni hadithi za kale!!! we soma umalize halafu uje mtaani u-experience inakuwaje!!
acha kukariri ..hizo ni hadithi za kale!!! we soma umalize halafu uje mtaani u-experience inakuwaje!!
ndupa JF-Expert Member Jan 25, 2008 4,403 141 Aug 28, 2012 #5 hapo ndugu nahisi kama umepotea vile....je GPA inasoma fresh?? unajuana na watu?? jib tuendelee!!!