- Thread starter
- #81
shida ni kuwahi kufa, kukomaa sio shida. Moyo hauwezi kuhimili mambo magumu kwa muda mrefu. Ndio maana hata Eliya aliomba Mungu amchukue mapema ili kupunguza tabu ya ulimwenguni hapa. Sasa mzee nikiwahi kufa hata hao watoto wa kulea hatakuwepo. Ni bora nilinde nafsi ili niapate hata muda wa kulea hao watoto. Otherwise, najiona kama my life has reached its end. Haya mambo mara nyingi yanageuka kua option kati ya kuishi na kifo. Baadhi ya wanawake wakiwa insecured sana wanaoption ya kuua wanaume. Angalia yule trafiki eti mapak mkewe ni mshukiwa wa mauaji.Ndio mke wako huyo komaa nae