Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Mwiba,
Mie na-support kabisa Zanzibar kujimegua na kufanya mambo yake. Kufuata Tanzania Bara ni kupoteza muda kwa sababu Tanzania bara kuna matatizo mengi na sugu ambayo hawana muda wowote wa kufikiria matatizo ya Zanzibar. Tanzania is too big for the Tanzania president; better leave Zanzibar total autonomy to the Zanzibar President. That will be the best for both Tanganyika and Zanzibar.
And that is the pwoint ,msitutishe na kuzama wacha tuzame kwani sisi tutakuwa sio wa kwanza ,lakini kutuzalilisha hilo halikubaliki.