Wapemba kiwanja chao ni Daraja bovu, tena kuanzia kule Kidatu, Chumbuni hadi karibu na Amani fresh, miaka 30 nyuma Wanyamwezi waliweza kuonekana mitaa hiyo, lakini kwa sasa wanatakiwa wawe mbali zaidi ya Mwera! Mpemba akiingia sehemu shughuli yake inafahamika!Kwa nini wapigiwe makelele. Na kina naini. Kwani Wa-Pemba ni kiwanja chao Daraja Bovu? Si walitoka tu huko Kisiwa cha pili na kuja pale. Sasa Mnyamwezi (akiwa ameishi miaka mitano pale) kwa nini asijisikie vizuri tu sawa na yule aliyetoka Chokocho na kujenga pale?
Du!!! hayo maeneo Tende inapatikana kwa wingi (joke)wapi huko ndagaa, kiboje,kitope, dole....?
Wewe Kibs. Pigisha kura leo pale wanapata CCM. Hiyo namaanisha kuwa Wapemba wengi tu ni Wapenzi wa CCM.Wapemba kiwanja chao ni Daraja bovu, tena kuanzia kule Kidatu, Chumbuni hadi karibu na Amani fresh, miaka 30 nyuma Wanyamwezi waliweza kuonekana mitaa hiyo, lakini kwa sasa wanatakiwa wawe mbali zaidi ya Mwera! Mpemba akiingia sehemu shughuli yake inafahamika!
Wapemba kiwanja chao ni Daraja bovu, tena kuanzia kule Kidatu, Chumbuni hadi karibu na Amani fresh, miaka 30 nyuma Wanyamwezi waliweza kuonekana mitaa hiyo, lakini kwa sasa wanatakiwa wawe mbali zaidi ya Mwera! Mpemba akiingia sehemu shughuli yake inafahamika!
Mzalendohalisi,
Huyo Mkuu wa kodi wa Zanzibar ametoa vipengele vya sheria yao, yuko makini sana huyo mtu. Kwa nini umkosoe kiongozi anaetekeleza sheria? Wa-bara mnaotaka Serikali itoe tamko kuwafurumusha wapemba Buguruni ni lazima mjiulize kama mnayo sheria. Katiba imewaruhusu Wanzanzibar wawe na sheria zao, za mambo yao. Sisi tulikubaliana nao kwamba chetu chao, chao chao.
Tulikuwa tunaambiwa eti ni hatari kuwa jirani na kisiwa kinaelea elea tu, tukichukue tukimiliki. Hii ndio bei ya haka ka kisiwa, ka nchi kadogo hata Masasi kubwa mara tano unawapa Vice President na Mawaziri na nafasi zaidi ya hamsini kwenye Bunge la majimbo 232. Wamejaa Bungeni, Cabinet, Uongozi wa Vyama, wamejaa Buguruni, Namanga, wamejaa Kariakoo, kila kona. Lakini kwao wao tusijae, kwa mujibu wa sheria. Tulitaka wenyewe hiki ki ndoa hiki, sio Zanzibar ndio tatizo, ni sisi ndio tulijiingiza kwenye huu mkenge.
Hautakuwa mwisho wa muungano kama walipitisha wimbo wao wa taifa na bendera yao unafikiri hili litawasitua wabara.Unaelewa wabara tunapenda sana sifa.na wengi wao hawana uzalendo na nchi hii.Hebu fikiria baada ya kuruhusu wawekezaji kwenye kilimo kutoka nje sheria ya ardhi ilipitishwa na kuongeza umiliki wa ardhi toka miaka 33 hadi 99.
Naam na huu muungano uchwara unalindwa kwa kila hali na the so called viongozi wa chama na serikali ili kulinda maslahi yao. Watanganyika hatuutaki maana ni muungano ambao una kasoro chungu nzima ambazo viongozi hao wa chama na serikali wanazifumbia macho na pia hauna maslahi yoyote kwa Watanganyika, kwa mfano Z'bar pia imechangia sana katika matatizo ya TANESCO kwa kukataa kulipa mabilioni ya bills za umeme ambayo walitakiwa wayalipe kwa TANESCO.
Na haka ka muungano ni hadithi ya tembo kumeza chura, chura ameanza kukoroma tumboni sasa.
Nina wasi2 huu Muungano utakuja tu vunjika siku moja!
Yaani ungaunganisha watu 40m against 1m na kuwapa upendeleo wa Wabunge 50 kati ya 232 na Makamu wa Raisi, mawaziri na Faida chungu nzima!
Yet malalamiko hayaishi toka Visiwani!
Sasa faida bara wanayopata kwa huu Muungano ni nini??
Pakacha,
Hakuna lisilowezekana chini ya jua, hebu tuwe serious na haya matatizo kila yakiachiwa yanakuwa na kuongezeka, itafika pahala tutakuwa hatuaminiani tena, maana itakuwa kama ugomvi wa ndoa mwisho wake kuachana baada ya suluhu kushindikana.[/QUOTE
Na kwa nini tushindwe na suluhu. Sisi ni binaadamu siyo "robots" Tutumie vichwa vyetu , tuyazungumze na kuyajadili yanayotuzonga ili tuipate suluhu. Kusema tumeshindwa na tuvunje Muungano- ni upunguwani.
mimi siku zote nasema, muungano sahihi na wa serikali moja na zanzibar iwe si zaidi ya mikoa 2 ya Tz, yaani Pemba na Unguja kama ilivyo Pwani na Dar es salaam. Haiwezekani muungano wa namna hii hata siku moja kero kwisha, kwani zikiisha upande wa Zanzibar, basi zitaanza upande wa bara, kwani wataanza kuhoji kulikoni kutokuwa na equal contribution and representation katika organs mbalimbali.
Mimi ningefurahi kuona hili la serikali moja linawezekana, au basi kila mtu apewe serikali yake na ashiriki kadri ya urefu wa mkono wake!
mimi naona hakuna tatizo, sio ubaguzi wala chuki. nchi zote zilizo endelea wanafanya hivyo. mimi naishi nje ya Tanzania na hiyo system inatumika hapa .sio kwa wageni tu ,bali hata raia. Na hata bara wakifanya hiyo system ni sawa tu. kwasababu wazawa wa kila sehemu wana haki ya ardhi na kitakachopatika katika ardhi hiyo. Ardhi ya Tanzania ni mali ya serikali. Ardhi ya bara ni mali ya bara, ardhi ya Zanzibar ni mali ya Wanzibar. Muungano isiwe sababu ya kuibiana ardhi. Mpemba au Mzanzibar anaeishi bara na kumiliki mali yoyote huko bara , anamiliki hivyo viyu kutokana na sheria za Bara .kwani sheria za ardhi nitofauti. Mtanganyika anaeishi na kumiliki mali ya aina yoyote zanzibar , anamiliki vitu hivyo kwa sheria ya Zanzibar. HATA HUKU NJE SHERİA YA MKOA MMOJA NA MWENGİNE ZİNATOFAUTİANA. KUMBUKENI KAMA ZANZİBAR NI NCHI ,NDIO BAADAE UKAPATIKANA HUO MUUNGANO.Hiki kibao wakigeuziwa Wazenji/Wapemba, pale Buguruni vile vibanda vya mbao naona vitatoweka.
Ardhi ya Tanzania ni mali ya serikali. Ardhi ya bara ni mali ya bara, ardhi ya Zanzibar ni mali ya Wanzibar.
ukianza kuwashambulia wapemba wanaofanya biashara na kuishi hapa Dar au bara utakuwa unakosea
Kwa maana hiyo Mathalani Mpemba wa Chokocho anapokwenda Sengerema akifika kule akitaka ardhi anaomba kupatiwa ardhi ambayo kihalali ni ya kwake. Lakini Msukuma wa Sengerema akienda Dole na kuomba ardhi pale anomba aredhi ambayo si ya kwake-Lakiniikiwa atakaa pale Dole kwa muda wa mikaka mitano mfululizo anakuwa ni Mzanzibari (kwa mujibu wa sheria ya Mzanzibari). Hivyo atakuwa na haki ya kuomba na kupewa ardhi hiyo. Sasa tatizo lipo wapi hapo. Pengine watu hawaufahamu Mfumo wa Muungano wetu wa Jamhuri moja ya Tanzania ambayo imeruhusu kuwepo kwa Nchi kamili (ndani ya Jamhuri) Zanzibar.Hakuna ardhi ya bara. Ardhi ya bara ni ya watanzania wote na ya Zanzibar ni ya wazenji
Kwa maana hiyo Mathalani Mpemba wa Chokocho anapokwenda Sengerema akifika kule akitaka ardhi anaomba kupatiwa ardhi ambayo kihalali ni ya kwake. Lakini Msukuma wa Sengerema akienda Dole na kuomba ardhi pale anomba aredhi ambayo si ya kwake-Lakiniikiwa atakaa pale Dole kwa muda wa mikaka mitano mfululizo anakuwa ni Mzanzibari (kwa mujibu wa sheria ya Mzanzibari). Hivyo atakuwa na haki ya kuomba na kupewa ardhi hiyo. Sasa tatizo lipo wapi hapo. Pengine watu hawaufahamu Mfumo wa Muungano wetu wa Jamhuri moja ya Tanzania ambayo imeruhusu kuwepo kwa Nchi kamili (ndani ya Jamhuri) Zanzibar.