Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Kwa kuwa huu ni uchochezi wa dhahiri, akamatwe yeye na kundi lake na ashitakiwe kwa kuhatarisha amani ya nchi kwa faida ya familia yake. Kinachoonekana sasa hivi suala la urais wa kikwete ni la kifamilia zaidi kuliko inavyopaswa kuwa ni la chama.
Afuatiliwe mtu mwenye no hiyo na afikishwe mahakamani.
Afuatiliwe mtu mwenye no hiyo na afikishwe mahakamani.