Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 29,042
- 47,072
Naisikiliza kila nikiwa nime chill homeKeith Sweat - Twisted
Na Joe - I wanna know
Naisikiliza kila nikiwa nime chill homeKeith Sweat - Twisted
Huyu jamaa tokea nijue ni upinde hiyo nyimbo nikiisikia huwa napata mfazaiko sana aiseee. Ni nyimbo tamu sana na nilianza isikia tokea nikiwa dogo sana na nilikuwa na demu wangu wa kipemba enzi hizo katoto ka baharia m'moja alizaa na mama wa kihehe ambaye alikuwa best sana na mama yangu.Elton John sacrifice
Sometimes Love just ain't enough - Patty Smyth
Dah umetisha. Hizi ni za kutoka katika mbigu ya saba ya R&B huwezi kuta watu wanazisikiliza hizi unless awe anajua details za album yote.Joe Thomas - Peep show
I love this songSave the best for last - Vanessa William
Dah. Sasa skia. Unataka kujua hii Rain on me imetokea wapi?!Ashanti - Rain on me
DJ mix ndio inakuwaje?!Hivi hakuna mtu mwenye dj mix ya hizi ngoma atupe hapa
Acha hizo😄, Chukua na hiiMmmmmmhmn mtoto unazijua wewe. Unaonekana mtundu sana kwenye giza.
Dah unapatia balaa sijui ulikuwa wapi maisha yangu haya hadi nakutana na watu wanasikiliza za kinaijeria muda wote.How you gonna act like that - Tyresse
Hio ngoma ukiiangalia video yake inasikitisha sana. Mwanamke anakuwa harrased na mchizi hamthamini😀 mtoto akikutana na baharia tu anakufa anaoza.Dah. Sasa skia. Unataka kujua hii Rain on me imetokea wapi?!
Kuna mwamba anaitwa 'Frankie' ana kibao chake kikali kinaitwa "if i had you" ndipo hii ngoma ya Ashanti ilipotokea. Ingia hapo mitamboni uitafute hii ngoma ya Frankie halafu naomba uniletee mrejesho wako hapa.
Acha hizo😄, Chukua na hiiMmmmmmhmn mtoto unazijua wewe. Unaonekana mtundu sana kwenye giza.
Acha hizo😄, Chukua na hii
View attachment 2627361
Swaga za kinaijeria zilikubamba, sasa zimekuchosha nakumbuka old skul 😂Dah unapatia balaa sijui ulikuwa wapi maisha yangu haya hadi nakutana na watu wanasikiliza za kinaijeria muda wote.
Sasa wewe si tungekuwa weekends hatutoki tunaweka ngoma tunasikiliza sote, tukiwa njiani kwenye gari ni ngoma zetu hizi tu aisee. Mtoto unapatia balaa wewe.
Hawa wahuni wanajua 🔥🔥🔥
Tafuta hiziSo sick - Neyo
Tupe basi hata mbili tatu boss. Au una English ya aibu unaogopa kuandikaNgoma zote za joe thomas na boyz to men