Jaman tangu lini beki aahidi magoli hahahahaha dah watu wazima wanadanganywa... Kahindwa kukaba wachezaji wanaolipwa laki moja ye analipwa mamilion anasema tusubir mabao zaid daaaaah me sitaki kudanganywa bana... Labda ana ndoto za kuwa mfungaji bora hahaahaha
Mlimkuwa mnamgombea ili akatupie au akazuie kina Felix, Javu wasitupie? Naona sa hivi anashindana na Bahanuzi kutupia magoli.
Katupia 1 juzi,na ka'promise kazi kubwa zaidi in the coming games.....embu niambie Keita na Ochieng wamefanya nini cha maana toka waanze kuvuta oxygen ya Tz?
Hivi ndivyo wanafunzi wanaofundishwa na mwalimu mmoja na kufanya mtihani wa aina 1 wanavyotofautiana katika marks,Kaka mtu kuahidi kazi kubwa zaidi siyo lazima iwe magoli,inaweza ikawa kazi kubwa katika kuokoa vilevileJaman tangu lini beki aahidi magoli hahahahaha dah watu wazima wanadanganywa... Kahindwa kukaba wachezaji wanaolipwa laki moja ye analipwa mamilion anasema tusubir mabao zaid daaaaah me sitaki kudanganywa bana... Labda ana ndoto za kuwa mfungaji bora hahaahaha
Hiyo ya kuacha majukumu yako ya msingi ndo kilichomcost Alex Song akauzwa kirahisi kwenda Barcelona, yeye alisajiliwa kucheza kiungo cha ukabaji lakini akajifanya fundi wa kutoa pasi za mwisho akidhani anaisaidia timu kumbe anaipoteza.Mkuu soka la kisasa halitenganishi majukumu ya wachezaji uwanjani,ndo maana kila baada ya siku kadhaa utasikia Vicent Kompany au yule Konscienscy wametupia kule kwenye team zao,ndo mabeki wa kisasa wa dunia ya leo wanavyocheza,katika kundi hili la mebeki wa kisasa unaweza kuwakuta kina Canavaro au yule Paul Ndauka kamwe huwezi kumkuta Nyoso humo
Ngoja tusubiri waje wenyewe watuambie hayo mazuri waliofanya Yanga ni yapi? Mimi nipo hapa siondoki nasubiri kujuzwa.Katika kipindi cha Epic Bongo Star Search, kijana mmoja aliyefanya vibaya sana akamfananisha na Yanga. Ati Yanga ni kawaida yao kufanya vibaya. Hiii, hiii mie nalia, kweli anatudharau hivi jamani, mzee Akilimali umemuona huyo binti, labda katumwa na Rage huyu.
Walifikiri Simba SC ni sawa na Toto African, kwamba ukiwashusha magabachori wenye vikapu mkononi siku mbili kabla ya mechi pale klabu ya Coastal Union, kutaimotisha Coastal kuifunga Simba SC.Mzee Akilimali alikuwa Tanga...kuwazibia Simba ili wafungwe na Coastal Union...
Ni kweli hapo kwenye maneno yenye rangi yenu hawapo, ila kwenye mabeki wa kisasa utawakuta.Mkuu soka la kisasa halitenganishi majukumu ya wachezaji uwanjani,ndo maana kila baada ya siku kadhaa utasikia Vicent Kompany au yule Konscienscy wametupia kule kwenye team zao,ndo mabeki wa kisasa wa dunia ya leo wanavyocheza,katika kundi hili la mebeki wa kisasa unaweza kuwakuta kina Canavaro au yule Paul Ndauka kamwe huwezi kumkuta Nyoso humo
Ukiona umefanya kosa halafu mzee wako anatoa chozi sio kwamba analia bali anakusikitikia kwa laana itakayokupata na mabalaa yatakayokukuta kama yanayomkuta huyu Ubuyu.Kamiliza Alhaji Rage kwa TV
Dua la kuku hiloUkiona umefanya kosa halafu mzee wako anatoa chozi sio kwamba analia bali anakusikitikia kwa laana itakayokupata na mabalaa yatakayokukuta kama yanayomkuta huyu Ubuyu.
Mzee wa Rula,siku ya mechi ya marudiano kati ya YANGA na simba nitakutumia ticket uje tuangalie mechi hiyo ya watani!!naamni baada ya mechi utaanza kuniamkia,ha ha ha ha!!Ulitaka asemaje sasa????
Andamaneni basi.
Mzee wa Rula,siku ya mechi ya marudiano kati ya YANGA na simba nitakutumia ticket uje tuangalie mechi hiyo ya watani!!naamni baada ya mechi utaanza kuniamkia,ha ha ha ha!!
salma yupi,ni :hug:yule msagaji?
si mtani wa jadi sasa kwa nini asiseme ukweli bana! hivi huyo Mbuyu twite mlokuwa mnashangiliiiiiiiiiiiiiiiiia sijaona chochote alichofanya ambacho kimezidi zaidi ya wabongo!
Katupia 1 juzi,na ka'promise kazi kubwa zaidi in the coming games.....embu niambie Keita na Ochieng wamefanya nini cha maana toka waanze kuvuta oxygen ya Tz?!
Jaman tangu lini beki aahidi magoli hahahahaha dah watu wazima wanadanganywa... Kahindwa kukaba wachezaji wanaolipwa laki moja ye analipwa mamilion anasema tusubir mabao zaid daaaaah me sitaki kudanganywa bana... Labda ana ndoto za kuwa mfungaji bora hahaahaha!