Sasa hivi ml60 za kila mwezi mbona hatukuwahi kusikia popote wala kujua? Au kwa sababu wengine hatupo makao makuu? Imekuwaje chama kitoe ukweli kuhusu hii michango ya ml.60 baada ya msuguano wa Nape na CDM?
Sasa nadhani ni muda muafaka wa chama kubainisha wazi vyanzo vyote vya mapato na matumizi yake hata kupitia website ya chama ili kila mwanachama aweze kujua vizuri mapato ya chama na kuondoa sintofahamu na propaganda chafu za CCM.
Naomba kuwasilisha.
Basi Chadema wakafute kesi ya NAPE kama haya yanaukweli.
kwani hao wazungu wametoa mashart gani? Funguka mpaka mwisho ili tukusaidie.
Kwahiyo Nape hakudanganya!!!
Kwahiyo Nape hakudanganya!!!
funguka wewe!....,unaji uma uma nin wewe? toa unafiki wako humu ndaniNIMECHOSHWA NA KAULI ZA MZEE WETU SLAA, eti kuwa wanapata msaada usiozidi milioni 60 kutoka kwa chama cha kikisto cha ujerumani sasa swali langu nauliza, kila mtu dunia hii anafahamu ubaya na uzuri ya misada ya wazungu kwa maana hakuna cha bure, na kwakuwa chadema tumeshuhudia kwa hapahapa tanzania wanauwezo wa kuchangisha mamilioni ya pesa kwa siku moja nawanchangia bila kupewa masharti, sasa kuna ulazima gani wa kwenda kwa wazungu hawa kupiga magoti kupewa milioni 60kwa mwaka??
In Psychology we call it 'fear of unknown'. Kuogopa vitu/kitu usicho kijua!
By zomba
Wana chadema, ni masikitiko makubwa kuona hawa ndio marafiki zenu na wafadhili wa kuwaendeleza kisiasa, Jee, hizi ndio siasa wanazowafadhili kuzileta Tanzania?
Huyu mama ndio Kiongozi wa Christian Democratic Union ya Ujerumani, ambao wenyewe wamekiri kuwa wanawadhili chadema kuwaendeleza kisiasa. Na Katibu Mkuu wa Chadma pia kakiri kuwa wanapokea misaada ya kuwaendeleza kutoka hiki chama cha kisiasa cha Kikristo.
Kwa kifupi, huyu Mama hapa chini anaoneshwa akimzawadia tuzo na kupongeza mchora katuni za kumkashifu Mtume Muhammad (SAW):
Merkel honours Danish Muhammad cartoonist Westergaard
A depiction of Muhammad's turban as a fused bomb sparked global outrage when it was published in Denmark.
Presenting him with a press freedom award, Mrs Merkel said Mr Westergaard was entitled to draw his caricatures.
"Europe is a place where a cartoonist is allowed to draw something like this," she said.
"We are talking here about the freedom of opinion and the freedom of the press," Ms Merkel said at the ceremony in the German city of Potsdam.
The offending cartoon - which led to a groundswell of Muslim anger in many countries around the world - was one of 12 first published by Danish newspaper Jyllands-Posten in 2005.
Angela Merkel congratulates Danish cartoonist Kurt Westergaard on his prize
Soma zaidi: BBC News - Merkel honours Danish Muhammad cartoonist Westergaard
Mkuu nchi si ni Ujerumani? Kumbe hakusema serikali ya nchi fulani! Tusubiri tuone mahakama itasemaje; kesi nzuri sana manake unaweza shituka Nape anatakaswa!Nape alisema kuwa CDM wanapewa pesa chafu na nchi za ulaya ili kuvuruga
amani Tanzania.Hakusema wanapewa na chama toka nje bali Nchi.Sasa hapo
ndio anatakiwa athibitishe hiyo nchi ni ipi.Hili swala la chama kusaidia CDM
lilishajitokeza tena siku za nyuma na Dr akalitolea ufafanuzi,sasa sijui nape
alikuwa wapi kipindi kile.
Mkuu watanzania wa leo si wa kuuziwa upuuzi kama huu wa kwako. Kama kuna watu wa kulalamika juu ya chama fulani kusaidiwa pesa toka nje basi si CCM au Nape; kwani huyu Nape anaelewa fika ni kiasi gani chama chake kinapokea toka nje na ndani kwa magenge ya kihalifu ya mitandao ya madawa ya kulevya achilia mbali michango toka kwa vibakauchumi waliosheheni ndani ya chama chao na kulindwa na CCM. Nape ameshindwa kuwaeleza watanzania ni kiasi gani CCM wanapokea toka China, Irani, Korea na nchi kibao wanazoziita nchi rafiki! Kama anabisha atoke hadharani atoe takwimu za kiasi gani CCM inapokea toka huko na kiasi walichoiba toka asasi kama Benki Kuu, iliyokuwa Bima ya Taifa (ambayo waliiua kabisa)TANESCO, na mashirika mengi ambayo tuna data zake. fedha wanayopokea CHADEMA toka kwa marafiki zao ni za wazi, zinafahamika ni kiasi gani na zimetumikaje na zinakaguliwa; za CCM je?NIMECHOSHWA NA KAULI ZA MZEE WETU SLAA, eti kuwa wanapata msaada usiozidi milioni 60 kutoka kwa chama cha kikisto cha ujerumani sasa swali langu nauliza, kila mtu dunia hii anafahamu ubaya na uzuri ya misada ya wazungu kwa maana hakuna cha bure, na kwakuwa chadema tumeshuhudia kwa hapahapa tanzania wanauwezo wa kuchangisha mamilioni ya pesa kwa siku moja nawanchangia bila kupewa masharti, sasa kuna ulazima gani wa kwenda kwa wazungu hawa kupiga magoti kupewa milioni 60kwa mwaka??
Sijui tuseme alidanganya au alitia chumvi au alipotosha umma na kuchanganya mambo. alihusisha misaada hiyo na mikataba ambayo baadaye itakigharimu taifa kwa kupoteza au kulazimika kutoa mali asili. Actually yeye anajua ukweli huo unaojadiliwa hapa, isipokuwa alikuwa kazini akakuta amepitiliza.
Acha Uzuzu wewe, Kila Chama huwa kina Vyama Rafiki na CCM vyama vyake Rafiki na ambavyo huwa vinaipatia CCM pesa ni Vyama vya Kikomonist China, na hata ANC cha south, Ila vingine ni vya Africa sema havina Uwezo wa Kusaidia CCM,
r
CHADEMA nao wana vyama Rafiki kama vya Ghana, Liberia, Republican, Conservative cha Uingereza, CDU na vingine vingi, Na kuna Muungano wao unaitwa DU, so kusaidiana huwa ni jambo la kawaida na si Pesa za Za Serikali bali za kwao wenyewe, Hata CHADEMA wanao uwezo wa kusaidia vyama vilivyo kwenye huo umoja wao, na hizo pesa zina Kaguriwa na Mkaguzi CAG, na ni pesa kwa ajiri ya CAPACITY BUILIDING si za Kampeni wala nini, na hata CCM wanajua hilo na si ishu ya Siri ni ishu ya Uwazi kabisa
Na hata hivyo vinavyo saidia CCM ni kwa ajiri ya kuendesha shughuli za kiofisi na si Kampeni, hakuna Nchi ya Kijinga inayo weza kusapoti chama cha Nchi nyingine kwenye Kampeni kwa sababu wanatambua Madhara yake, na hata Policy za uhusiano haziruhusu
Sasa Nape yeye anatakiwa Kudhibitisha Nchi na si Chama, na MOU iliyo sainiwa kati ya CHADEMA na hizo Nchi, so hapo ndo kazi ilipo
CHADEMA Ruzuku ya Milioni 200 NA ZAIDI KWA MWEZI Watashindwa kufanya mikutano?
kwani hao wazungu wametoa mashart gani? Funguka mpaka mwisho ili tukusaidie.
Kumb alichosema nape ni cha kweli?