Slaa: Sikujua kama Josephine kaolewa

na kama baada ya miaka 2 yakutengana ndoa inakuwa imevunjika yenyewe mbona wengine wanakuja kupelekana mahakamani kama hawa josephine na wanagawana mali
 
Mwanamke huyo alivyo mzuri!?! Hata mimi ningelimweka ndani........... nani alisema ukiona kizuri waanza kuuliza uliza? muulizeni pedeshee JK!

Yule mwanaume atajuta kutumiwa na sisi m. Maana ifikapo 1.11 Dr atakuwa ikulu na atakuwa kwenye mikakati ya ndoa, ikiwa ni pamoja na mama kuvunja ndoa mahakamani na kufunga mpya na Mr Prezidaaaa
 
Malavidavi na usomi eh? Angekuwa msomi (siyo wa theolojia) angefundishwa mbinu za kuficha sehemu zake za siri ndani ya chupi yake badala ya kumpa kila mwanamke anayekutana naye. :hand:

Kuna kuonja na kununua ila kuna wengine wanaonja mpaka wanashiba..... hivi mtu anaezini kabla ya ndoa anaitwaje? havunji amri za Mungu? ikiwa kwa mtu mwingine mie naweza mtetea ila kwa kiongozi wa dini awe muislam/ sheikh mstaafu au mkristo hapo noooo:hand:
 
Mwanamke huyo alivyo mzuri!?! Hata mimi ningelimweka ndani........... nani alisema ukiona kizuri waanza kuuliza uliza? muulizeni pedeshee JK!

Yule mwanaume atajuta kutumiwa na sisi m. Maana ifikapo 1.11 Dr atakuwa ikulu na atakuwa kwenye mikakati ya ndoa, ikiwa ni pamoja na mama kuvunja ndoa mahakamani na kufunga mpya na Mr Prezidaaaa

kwahiyo sasa hivi rais mtarajiwa anavunja amri ya sita?
 
Acheni ujinga nyinyi, hatuangalii swala la uzinzi hapa! Tunaangalia mchapa kazi na mwenye moyo wa kizalendo kwa TZ.
Tukianza kuchambua wazinzi kuna atakayebaki hapa acheni hizo. Kuna marais kibao wazinzi na wanafanya kazi yao ipasavyo na kuleta nchi zao maendeleo.

Unataka kusema umasikini wenu na ufisadi ni bora kuliko uzinzi? Wizi wa mabilioni na UUAJI (ndio uuaji unashangaa nini? Kama unasababisha watoto kufa wakati wa kuzaliwa si uuaji, kutoweka dawa hosp sio uuaji enh? Kumpiga mtu risasi anayetetea haki yake ya kikatiba ya kuandamana kwa amani akiwa hana hata jiwe mkononi si uuaji?) KIPI BORA HAPA?

Tunahitaji wachapakazi watuongoze kuleta maendeleo Tanzania sio kuogopa mabadiliko. Pasipo mabadiliko hakuna maendeleo. Badilikeni sasa Watanzania acheni kufanya bongo zenu ngumu!!
 
hamna kitu kibaya kama kuzini na mke wa mtu! mchungaji slaa ni mchafu nje ndani... hafai kabisa...
 
Acheni ujinga nyinyi, hatuangalii swala la uzinzi hapa! Tunaangalia mchapa kazi na mwenye moyo wa kizalendo kwa TZ.
Tukianza kuchambua wazinzi kuna atakayebaki hapa acheni hizo. Kuna marais kibao wazinzi na wanafanya kazi yao ipasavyo na kuleta nchi zao maendeleo.

Unataka kusema umasikini wenu na ufisadi ni bora kuliko uzinzi? Wizi wa mabilioni na UUAJI (ndio uuaji unashangaa nini? Kama unasababisha watoto kufa wakati wa kuzaliwa si uuaji, kutoweka dawa hosp sio uuaji enh? Kumpiga mtu risasi anayetetea haki yake ya kikatiba ya kuandamana kwa amani akiwa hana hata jiwe mkononi si uuaji?) KIPI BORA HAPA?

Tunahitaji wachapakazi watuongoze kuleta maendeleo Tanzania sio kuogopa mabadiliko. Pasipo mabadiliko hakuna maendeleo. Badilikeni sasa Watanzania acheni kufanya bongo zenu ngumu!!

Hivi huyu jamaa ukimuona anatoka chumbani kwako na khanga kiunoni utakuwa hivi :A S 13: na kumtoa mbio kwa mapanga AMA utampa :hand: hamna noma muzee endeleea kujipumzisha baada ya kazi nzito ya kujenga taifa na pia kumuomba samahani kufika pale bila ya taarifa.
 
hamna kitu kibaya kama kuzini na mke wa mtu! mchungaji slaa ni mchafu nje ndani... hafai kabisa...

Wewe acha kutapatapa. Kama Dr Slaa angeshikwa ugoni hapo ungesema kazini na mke wa mtu. Lakini huyo bwana hakumshika ugoni ila kaenda mahakamani na kesi ni Octoba 5. Sasa utasema kazini wakati hujajua kama ni mke wa mdai?
 
Ni kawaida kwa Mapadre kutembea na wake za Watu,hawako makini kabisa kwenye hiyo kitu,nafkiri Slaa baado ana kaupadre padre

Pole sana! Yaani, miaka 3 yote ipite jamaa kalala usingizi halafu uchaguzi ukaribie ndipo azinduke kuwa kaporwa mke? Na huko aliko kwa sasa anafanya nini au na yeye kaporwa?
 
Kwani unafikiri halikuwa hajuhi? Kule Nyakato National Mwanza kuna Padre mmoja wa Kiitaliano anakula Mama ya Msukuma mmoja na anawasomesha watoto wa jamaa na jamaa kimya,anawatoa out watoto wa kike wa jamaa na mbaya watoto wenyewe wamekua sasa,lijamaa linaweza kula kuku na miyai yake...mweeee.....

Nasikia hapa wewe ulishamla huyo mama na mkakutana na huyo faza na ndio ikawa mwanzo wa kujua kuwa mnakula pamoja. Eti?
 
kuishi na mwanamke mwingine wakati mahakama haijatoa talaka haimaanishi kuwa ndoa hiyo imevunjwa. pia, kwa habari ya presumption of marriage ya miaka miwili, presumption hiyo inaweza kuwepo kama hakukuwa na ndoa, kama mmoja wapo alikuwa kwenye ndoa akaenda kuishi na mwanamke mwingine, huyo huyo hawezi kudai dhana ya ndoa...yaani, kwasababu josephine alishakuwa na ndoa inayoendelea, hawezi kudai dhana ya ndoa hata kama amekaa na slaa kwa miaka miwili, hata kama mwanaume wake wa ndoa alihama nyumbani kwenda kuishi kwingine kwa miaka mitatu...

alichotakiwa kufanya josephine ni kwenda mahakamani kuomba talaka kwa sababu ya desertion pamoja na kwamba miaka mitano haijafika (mitatu au mitano hivi sina uhakika nimeisoma sheria hii zamani), akipata talaka ndo atakuwa huru, kama hajapata talaka, huyo alikuwa bado mke wa mtu..na slaa alikuwa anazini. uyo mwenye mume alitakiwa kumfungulia slaa kesi ya madai ya kuzini na mke wake. Mimi namsapoti slaa lakini hapa amefanya blanda kubwa sana na ametuangusha sana wafuasi wake...hii kitu Mungu ameumba inatusumbua sana wanume kiasi cha kufanya mambo mengine bila kufikiria...

Tatizo tunalofanya hapa tumechukua maelezo ya upande mmoja wa mdai na kufanya kama ndiyo ukweli wote usio na shaka. Ningependa pia tupate maelezo kutoka kwa Josephine yeye anasema nini. Pia hatujui sababu zilizofanya waamue kutengana na pia kulingana na imani yao ya dini kipi kikifanyika ndoa inakuwa haipo tena. Kwa hiyo, kabla ya kujadili suala hili tulipaswa tujue ukweli huu. Vinginevyo, tunapoteza muda tu.
 
Tatizo hapa si uzinzi hata kidogo. Nchi yetu haina dini, kwa hiyo hakuna ambalo ni dhambi. Lakini tunazo sheria, kwa hiyo mtu anaweza kutenda kinyume na sheria, na utaratibu wa adhabu kwa kila sheria ivunjwayo upo. Tatizo hapa ni kumchagua rais ambaye ni mvunjaji wa makusudi wa sheria. Tunatarajia rais atakapoapishwa aape kusimamia sheria, utawala wa sheria. Huyu jamaa ana tuhuma hapa za kuvunja sheria. Na sheria yenyewe ni kwamba amechukua mke wa mtu ambaye bado yuko katika ndoa na anamtangaza kuwa ni mchumba wake! Anapoulizwa mahakamani anadai kuwa ati hakujua ni mke wa mtu! Ajabu! Haya, sasa amejua ni mke wa mtu, amwache basi, hataki!

Narudia, hatumlaumu kuzini, hilo hatuna haki kulihukumu maana ni la kidini, na nchi yetu haina dini. Tunamshutumu kuvunja sheria, kukiuka maadili, kuchumbia mke wa mtu bila kuthibitisha kuwa ana talaka. Na huo ukaidi wa kuendelea kumng'ang'ania mke wa mtu hata baada ya kujua kumbe hana talaka! Sasa hicho ndicho kiburi, ni dalili mbaya kwa mtu anayetaka kuwa rais wetu. Ni dalili kuwa ataendelea kupuuza sheria na kutufanyia kiburi na jeuri ili kulinda maslahi yake binafsi, kama anavyotetea huo uhusiano wa kingono na mke wa mtu.
 
Mwanamke anakuja kwako na watoto wawili humuulizi baba yao nani na mmetengana vipi?
 
Mwanamke anakuja kwako na watoto wawili humuulizi baba yao nani na mmetengana vipi?

Namshangaa Slaa! Na bado hata akikujibu kuwa wameachana, utapenda kujua kama ana talaka kama unataka kufunga naye ndoa kisheria. Na hata akidanganya na hilo pia, hivi bado hadi mumewe anajitokeza na vyeti vya ndoa na picha za harusi, bado huulizi kama washatalikiana kisheria au la? Ndoa ya pili wala si tatizo, kinachotakiwa ni uthibitisho kuwa ndoa ya kwanza haipo tena, na kama huyo mume wa awali bado yupo, uthibitisho huo ni talaka tu.

Sasa tumuulize Dr Slaa, je ameiona talaka ya Josephine? Kama hajaiona, ujasiri wa kumtangaza kama mchumba kaupata wapi? Anadai hakujua kuwa ni mke wa mtu, sasa kajua, mbona bado anamng'ang'ania? Kama anaweza kuvunja sheria waziwazi na kuendelea kuivunja kwa kiburi na ukaidi kiasi hiki wakati anagombea urais, tutaaminije kuwa atakapoupata huo urais hatavunja na sheria nyingine na kutuumiza wananchi? Yeye ni padre (mstaafu) na anafahamu maandiko ya kitabu chake cha Biblia, yapo yanayosema ukikosa uaminifu na jambo dogo huwezi kuaminiwa na jambo kubwa. Nalo hilo pia amekaidi, au hata ukristo pia amestaafu?

Narudia, tatizo langu na huyu Dr Slaa ni huu uvunjaji wa makusudi wa sheria na kutoa utetezi wa kichefuchefu wa kudai ati 'sikujua'!
 
Mwanamke anakuja kwako na watoto wawili humuulizi baba yao nani na mmetengana vipi?[/QUOTE
Baba wa watoto haimaanishi mume. Wanawake wangapi wana watoto lakini hawana waume? Suala lenyewe lipo mahakamani, sheria ya ndoa ipo. Tunamtaka Rais mwenye uchungu wa kulinda nchi yetu na raslimali zetu, rais ana mke au hama si suala la maana. Naona saa hizi watu wanajifanya wanajua hata uzinzi na kuuhusisha na urais, mbona kama ni hivyo huo umakini haupo tangu siku nyingi. Je ndoa za wagombea wengine tunazihoji vile vile?

Katika ugombea urais sisi tunafuatilia Katiba, sheria na kanuni zetu zinazoongoza mambo yetu, nje ya hapo naona tunataka kuhangaishana bure.
 
Mwanamke anakuja kwako na watoto wawili humuulizi baba yao nani na mmetengana vipi?[/QUOTE
Baba wa watoto haimaanishi mume. Wanawake wangapi wana watoto lakini hawana waume? Suala lenyewe lipo mahakamani, sheria ya ndoa ipo. Tunamtaka Rais mwenye uchungu wa kulinda nchi yetu na raslimali zetu, rais ana mke au hama si suala la maana. Naona saa hizi watu wanajifanya wanajua hata uzinzi na kuuhusisha na urais, mbona kama ni hivyo huo umakini haupo tangu siku nyingi. Je ndoa za wagombea wengine tunazihoji vile vile?

Katika ugombea urais sisi tunafuatilia Katiba, sheria na kanuni zetu zinazoongoza mambo yetu, nje ya hapo naona tunataka kuhangaishana bure.

Ni kweli kuwa baba watoto si lazima awe mume, kuna wanawake single parents. Lakini huyu Slaa alijua kuwa huyu Josephine ana ndoa ya kikristo. Anadai walishatengana na mumewe ndio maana amemchukua awe mchumba wake. Lakini hakuhoji kama ana talaka. Kwa hiyo anataka kufunga ndoa na mwenye ndoa, ambalo ni uvunjaji wa sheria. Ni dalili mbaya kwa anayetaka kuwa rais. Usipokuwa mwaminifu katika hili la sheria ya ndoa, tutakuaminije na sheria nyingine zilizoko nchi hii?
 
Tatizo tunalofanya hapa tumechukua maelezo ya upande mmoja wa mdai na kufanya kama ndiyo ukweli wote usio na shaka. Ningependa pia tupate maelezo kutoka kwa Josephine yeye anasema nini. Pia hatujui sababu zilizofanya waamue kutengana na pia kulingana na imani yao ya dini kipi kikifanyika ndoa inakuwa haipo tena. Kwa hiyo, kabla ya kujadili suala hili tulipaswa tujue ukweli huu. Vinginevyo, tunapoteza muda tu.

Mkuu unahangaishwa na watoto wa MAFISADI hawa...lets songa mbele kumpa support SLAA...lazima ikulu iheshimiwe maana sasa hata kina DIAMOND wanashinda ikulu....
 
Back
Top Bottom