Slaa, Mbowe waweka wazi mrengo wao wa kikatoliki

Status
Not open for further replies.
Osama na Alqaida wake wamefadhili uislamu kutekeleza mauaji mengi sana Duniani ikiwemo la ofisi za balozi za US za Nairobi na Dar.Huko aliko aendelee kuchomwa kwa moto wa kiberiti.Na hao wafuasi wake pamoja na aliyeandika posti hii (Sokomoko) washindwe katika Jina la Yesu Kristo.
Mkuu, unaishi kwenye nyumba ya vioo vitupu alafu unaanzisha vita!Huyu Mkatoliki safi anaitwa Adolf Hitler, katekeleza mauji ya watu 12,000,000 (Concentratio Camps and Civilians WWWII) bwana Yesu asifiwe. Back to the topic vipi na wewe upo kwenye list ya kwenda Ujerumani Kujifunza maadili ya Kikiristo?
 
Sokomoka takbir yahe. Ila kuna kazi kubwa kupindua ukweli

Ukweli ni upi mkuu?lete hoja kwani nipo kwa ajili ya kuelimika na mawazo mapevu ya kila mtu bila kujali anapotoka/jinsia yake na kadha wa kadha.
 
Sasa ina Maana Shiite na Sunni miongozo yao ni pamoja? or nimesahau Dini ya watu wa House of SAUD nadhani Bakwata wanawakimbia sababu siasa zao ni kali haswa hawapendelei wanawake kuwa huru ukienda sokoni lazima Mwanamme akuongoze, hawaruhusu wanawake kuendesha Magari; Bakwata ilifanya vizuri kuwakimbia

Unaona walivyokuwa wanatwangwana Bahrain?

Sasa kama umeshau si ungepita kimya kinya kuliko ku post upupu? by the way upo off topic hapa kina jadiliwa "Ushirikiano wa CDU na CDM"


 
Sasa kama umeshau si ungepita kimya kinya kuliko ku post upupu? by the way upo off topic hapa kina jadiliwa "Ushirikiano wa CDU na CDM"


Ningekuona ni Great Thinker kama ungeanza kuhoji kwa nini serikali ikubali kuwa na ubalozi wa kanisa katoriki hapa Tanzania, je haujui kama Vatican ni kanisa katoliki?
Au nchi nzima tumeshabatizwa bila kujijuwa? NAOMBA UNAIFANAHAMISHE HILO.
Nitarudi,............
 
Wanajamii. Huyu bwana aliyetoa hii thread ni terrorist, nimefanya uchunguzi taarifa zake zote ninazo, ametumwa kutumaliza.
 
Wanajamii. Huyu bwana aliyetoa hii thread ni terrorist, nimefanya uchunguzi taarifa zake zote ninazo, ametumwa kutumaliza.

Acha kutaka kuficha ukweli. kama kweli wewe ni Great Thinker refer hizo reference alizokupa kisha lete hoja.
 
baada ya kumpokea bwana mwokozi wako umekiri mwenyewe moyoni kwako kama chadema ni chama cha kikiristo, kwa ili umeona hakuna tatizo chadema kuwa chama cha kikiristo, ndio maana mnapata msaada mkubwa kutoka chama cha kikiristo cha ujerumani cdu, natumai utakuwa mmoja wa vijana watakaoenda kujifunza maadili ya kikiristo

wewe una pepo mbaya.
 
Ama kweli ukishangaa ya musa utaona ya firauni,mambo ya sokomoko ni ya kifirauni tosha.we mtu gani huna reasoning capacity?
unahitaji msaada mkubwa! watu kama wewe ni vigumu sana kuelewa kitu, kwani ni product ya madrasa education ambako wanapata maarifa ya kukariri "not understanding knowledge" sasa mtu type yako utaelewa nini?
unachojua wewe ni kughani aya tu za kurani basi! ukisikia habari zingine kama hujazikariri kama msahafu ni shida hutaki kuelewa kabisa labda upewe hadithi ya kuwianisha na kile ulichokariri,sasa kwa kukusaidia na hiyo misimamo yako ya kidini nenda waulize maustaadhi wako mtume muhamadi aliposhirikiana na wakristo uislamu uligeuka ukristo? cdm kushirikiana n
a cdu sio suala la ukristo wewe! shida yako hujui kuwa hujui!
 
Mbowe sio Mkatoliki ni M-lutheri, acha sokomoko!

Falsafa ya Chama
  1. Falsafa ni fikra na mtazamo wa Chama ambayo ni kuamini katika “Nguvu na Mamlaka ya Umma” (The People’s Power) katika kumiliki, kuendesha, kubuni, na kuendeleza maamuzi, mawazo, rasilimali, uchumi na siasa ya nchi yao.
  2. Aidha falsafa ya “Nguvu na Mamlaka ya Umma” ndiyo msingi na chimbuko la kuundwa dola ya nchi, na kuwa, Umma ndiyo wenye madaraka ya mwanzo na ya mwisho katika kuamua hatima ya nchi na taifa pasipo kuingiliwa, kudanganywa au kughilibiwa na viongozi, watawala au wageni.
  3. Ujenzi na udumishaji wa Demokrasia na Maendeleo nchini vitatokana na Nguvu na Mamlaka ya Umma wa Watanzania. Nguvu na Mamlaka ya Umma itabainishwa, kuainishwa na kulindwa katika Katiba ya nchi na Umma ndiyo utakuwa chimbuko la Katiba hiyo.
  4. Historia inaonyesha kuwa “UMMA” wa Watanzania haujawahi kuwa na sauti, mamlaka na madaraka juu ya maamuzi ya hatima ya maisha ya watu. Uhuru, nguvu, mamlaka na madaraka wakati wote, tokea enzi za ukoloni mpaka leo, vimekuwa vikihodhiwa na kumilikiwa na watu wachache ambao wana mamlaka ya kuongoza SERIKALI na kuwakandamiza wananchi.
  5. CHADEMA tunaamini kuwa mifumo na miundo ya utawala wa nchi yetu havijawapo kwa ajili ya kuutumikia umma, bali umma ndiyo huzitumikia serikali hizo ambazo ni mali ya watu wachache wanaopoka “Nguvu ya Umma”. Sambamba na hilo, umma wa Watanzania umekuwa hauna mamlaka ya mwisho ya kuhoji maamuzi ya serikali yanayowaathiri watu, na hivyo kujikuta hauna mamlaka juu ya rasilimali, sheria, utawala, na uendeshaji wa nchi. Aidha, Katiba ya Nchi imekuwa miliki ya Serikali kwa kutumia Bunge ambalo linatawaliwa na mawazo kongwe ya ukiritimba wa enzi za mfumo wa Chama kimoja cha siasa nchini.
  6. CHADEMA tunaamini na kutambua kuwa “kuchaguliwa” kuunda utawala wa kuongoza nchi hakumaanishi wachaguliwa kujitwalia mamalaka ya UMMA na kisha kuyatumia mamlaka hayo kuwakandamiza “waliowachagua” kwa sababu tu ya kutetea maslahi binafsi badala ya maslahi ya umma.
  7. Hivyo basi, falsafa ya “Nguvu na Mamlaka ya Umma” ndiyo njia ya msingi ya kubadilisha fikra na uongozi unaokandamiza umma, ili kuibua fikra mpya na kuweka uongozi unaoweza kumilikiwa, kuhojiwa, na kuwajibishwa na umma kwa kutumia vyombo vilivyopatikana kwa utashi wa wengi kupitia chaguzi huru na za haki.
  8. Falsafa ya “Nguvu na Mamlaka ya Umma” inalenga kuwaamsha, kuwahamasisha, kuwaelimisha, kuwashawishi na kuwaandaa Watanzania wachukue hatua ya kuimiliki, kuitawala, kuilinda na kuifaidi nchi yao tofauti na kipindi cha miaka mingi chini ya mfumo wa chama kimoja cha siasa na miaka kumi na nne ya mwanzo ya mfumo wa vyama vingi.

Huo ukatoliki umeandikwa wapi humu?
 
188607_10150104468613853_533398852_6320484_4212453_n.jpg
 
Huna jipya acha ubabaishaji ndio maana umeanza kwa taadhari nyingi ukijua kuwa mada yako ni ya kipuuzi. Fikiri kabla ya kutenda.
 
uchristo wa chadema uliwekwa wazi wiki moja kabla ya uchaguzi pale madhehebu yote ya kikristo yalipokesha makanisani kumchagua slaa.hata baadhi ya ccm damu waliamua kukihama chama kwa sababu kuu mbili.
1.kumpinga kikwete kwa kuwa muislamu
2.kumchagua slaa kwani ni mkristo,mchungaji, dokta wa bibilia...
hivyo hakuna haja ya kutafuta sababu zingine ili kujua km chadema ni chama cha kikristo kwani kila ki2 kipo wazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom