everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Huyu jamaa nafikiri inabidi aangalie historia ya Tanzania ilivyokuwa. Toka awali shule za Kikristo ndizo zilizokuwa nyingi kwa Tanzania na hii inatokana na historia ya umisionari. Sasa embu bwana sokomoko jiulize, ni waislam wangapi wamesoma shule za Seminari za kikristo na bado wameushikilia uislam wao? Nadhani utakubaliana na mimi kwamba ni wengi hasa wale walioshiriki katika kupigania uhuru siitaji kutaja majina.
Kwahiyo basi, sidhani kama hao CDM wamewekewa masharti kwamba ili mtu akasome huko Ujerumani lazima awe mkristo. Ni kama ilivyokuwa kwa shule za Seminari Tanzania zilikuwa za kikristo lakini kila mmoja aliruhusiwa kusoma bila kulazimishwa kubadili dini. Kubadili dini ni msimamo wa mtu binafsi.
Tuache kupandikiza mbegu na fikra chafu kwenye jamiii. Kwa hiyo kama kuna shule nzuri inayoongozwa na dhehebu la Kikristo muislam asisome? Acha mambo yako wewe.
Kwahiyo basi, sidhani kama hao CDM wamewekewa masharti kwamba ili mtu akasome huko Ujerumani lazima awe mkristo. Ni kama ilivyokuwa kwa shule za Seminari Tanzania zilikuwa za kikristo lakini kila mmoja aliruhusiwa kusoma bila kulazimishwa kubadili dini. Kubadili dini ni msimamo wa mtu binafsi.
Tuache kupandikiza mbegu na fikra chafu kwenye jamiii. Kwa hiyo kama kuna shule nzuri inayoongozwa na dhehebu la Kikristo muislam asisome? Acha mambo yako wewe.