Ndio nini sasa..??? umeandika nini..?? kaa kimya kuficha UMBUMBUMBU wako,,watu hamtakiwi hauishi kujipendekeza.,acha hizo. Mtoto wa kiume lazima usimame kiume na ufanye maamuzi ya kiume, sio unakuwa boya boya tu.
Mwampamba jina lako na maneno yako hayaendani. Jazba,kiburi,hasira,matusi ha,majivuno hayo yote ni machukizo mbele ya Mungu. Wapo wengi walitumika kama ww na mwisho wao ulikuwa mbaya. Jitambue na ujue kuwa ccm inawanachama 5,000,000 na upinzani ni 4,000,000 na walio wengi hawana vyama ninaimani kuwa na watu kama ww kutazidi kupunguza idadi ya watu 5,000,000.