kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Toka ameiacha Wizara ya mambo ya ndani bado ajatokea waziri mwenye kuweza kuvaa viatu alivyo viacha mpaka leo hii.
Alikuwa anaubunifu wa hali ya juu. Toka ahamasishe ujenzi wa vituo vya polisi kila kona mpaka leo hii kuna ongezeko dogo sana la vituo vipya vya polisi. Vingi vinavyotumika ni vile alivyo viacha.
Majambazi aliweza kuwadhibiti kwa hali ya juu. Leo hii ni majanga kila kona.
Naomba wana JF tumpe sifa zake Mrema.
A.L.Mrema
Alikuwa anaubunifu wa hali ya juu. Toka ahamasishe ujenzi wa vituo vya polisi kila kona mpaka leo hii kuna ongezeko dogo sana la vituo vipya vya polisi. Vingi vinavyotumika ni vile alivyo viacha.
Majambazi aliweza kuwadhibiti kwa hali ya juu. Leo hii ni majanga kila kona.
Naomba wana JF tumpe sifa zake Mrema.
A.L.Mrema