Kwa kauli hiyo alikuwa anamaanisha nini? Sitta sio rahisi kuwa raisi isipokuwa labda kwa mgombea anayemuunga mkono.
watanzania bhana wengine wanakufa na mafuriko wengine wanafikiria urais
Hatimaye Sitta ameanza kutoboa jibu. Leo akiwa jimboni kwake Urambo amesema kuwa hatua yake ya kutoa misaada makanisani siyo kwamba anatafuata urais. Kwamba kama Urais upo basi utamfuata wenyewe kwa wananchi
kumhesimu.
Source: ITV
watanzania bhana wengine wanakufa na mafuriko wengine wanafikiria urais