Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Napenda kumtahadharisha mzee wangu sitta kuwa ccm hawamtaki ni bora akijiondoa mapema kwa heshima kabla fedhea haijamkuta
hii inathibitishwa na kutochaguliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na wajumbe wa nec ili hali makuwadi wa mafisadi na rasilimali za taifa wakichaguliwa kwa kishindo. Mfano january makamba, zakhia meghji, abdallah kigoda na wasira.
Waswahili wanasema baada ya dhiki ni faraja but hakuna faraja yeyote aliyoipata mzee wetu huyu hata baada ya kutoswa uspika, baada ya kutukanwa kule znz akiwa anawasilisha muswada wa katiba mpya na hata baada ya kuongoza mapambano ya muda mrefu dhidi ya mafisadi ambao leo hii chama chenye kina kiri kupoteza umaarufu kwa sababu yao
mzee sitta karibu kambi unayostahili kulipo na wapambanaji wa ukweli na sio wasaliti kama huko ulipo
hii inathibitishwa na kutochaguliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na wajumbe wa nec ili hali makuwadi wa mafisadi na rasilimali za taifa wakichaguliwa kwa kishindo. Mfano january makamba, zakhia meghji, abdallah kigoda na wasira.
Waswahili wanasema baada ya dhiki ni faraja but hakuna faraja yeyote aliyoipata mzee wetu huyu hata baada ya kutoswa uspika, baada ya kutukanwa kule znz akiwa anawasilisha muswada wa katiba mpya na hata baada ya kuongoza mapambano ya muda mrefu dhidi ya mafisadi ambao leo hii chama chenye kina kiri kupoteza umaarufu kwa sababu yao
mzee sitta karibu kambi unayostahili kulipo na wapambanaji wa ukweli na sio wasaliti kama huko ulipo