Kwa aliyoyasema Rais Samia kuhusu ATCL, ni vyema Mkurugenzi akajiuzulu mapema kabla hajatumbuliwa

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
 
Na-imagine ni uchungu namna gani anaousikia hapo ,mchakato wa ununuzi wa ndege unaanzia mbali mno sijui Kama Prof. Mbarawa atapona
 

Inaonekana kama ili uongoze hii nchi kwa mafanikio ni lazima uwaone watendaji wote wa serikali kama Ng'ombe au Punda. Uwapeleke peleke mpaka waombe kuacha kazi.

Kila mtu anayepata nafasi kidogo anataka kuiba.
 
a
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
anayenunua ni nani? maana ATCL wao wanazikodi tu, hakuna haja ya kujiuzulu
 
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
Yeye mkurugezi sikama anakodishiwa izo ndege .kwenye manunuzi kaingiaje?
 

Inaonekana kama ili uongoze hii nchi kwa mafanikio ni lazima uwaone watendaji wote wa serikali kama Ng'ombe au Punda. Uwapeleke peleke mpaka waombe kuacha kazi.

Kila mtu anayepata nafasi kidogo anataka kuiba.
magufuri tulimuuita dicteta sasa yanatokea , tulitakiwa kuendeleza kubanwa kama mawazo watu wasipumuue
 
Taifa linapita mahali pagumu sana, PhD hangaya anahitaji msaada. Haya majizi yenye uwezo wa kuongeza hizo % zao hata ukiyaita stupid au Pumbavu ni sawa umeyapaka mafuta au kuyabembeleza...
Ona hali za afya za watu wetu, ona elimu zao, ona kilimo chao, ona watanzania wanavyoteseka kwa matozo yasiyo kichwa wala miguu ona ma mikopo nchi imegeuzwa shamba la bi hangaya kila mtu anachota kwa style yake.
 
Wahusika Ni wakala wa ndege za Serikali (TGFA) ndiyo wanunuzi wa ndege, ATCL wanakodi tu.
Ushauri
1). Mamlaka za uteuzi au ajira zichukue hatua stahiki kwa maana wahusika hawawezi kuachia viti na V8.
2). Rais awashughulikie wale ambao anawateua yeye,na wale wanaoajiriwa na bodi mbalimbali na manejimenti washughulikiwe na Mamlaka zao za uteuzi,huo ndiyo utawala wa Sheria
3). Professor wa wizara ya uchukuzi na Daktari wa Hazina,wajitafakari na wao, watendaji wao wamehusika
4). Variation yoyote ya kwenye mkataba,ni lazima iletwe mezani au ujulishwe upande wa pili, for discussion and approval hiyo ndiyo best practice.
5). Kitendo cha manufacturer kuendelea na utengenezaji wa ndege bila kuomba consent from the buyer ni batili,na hakiwezi kukubalika au kuvumiliwa na Serikali au mzalendo yeyote.
6).Kama kuna mtu yeyote alitoa maagizo ya kuendelea na matengenezo ya ndege bila kuomba ridhaa ya mwenye mali, hiyo ni insubordination.Hatua za kinidhamu na kisheria zichukuliwe.
7). Wahusika wote wawekwe hadharani,ili Watanzania,wawajue wahujumu wao
 
Back
Top Bottom