Emmanuel J. Buyamba
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,167
- 651
yani we jamaa jinga sana na chama chako.si mlimkataa huyu sitta kwenye usipika eti hana uke? Leo amefaa vipi?Zingine hofu tu bila kuwa na sababu za msingi mzee wa viwango ni mtu wa kuzingatia sheria na kanuni tatizo lenu bavicha mnataka kufanya mambo kwa nguvu kama mko kwenye mikutano ya siasa mambo hayaendi hivyo jamani.