Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Kuna vitoto vingi vilivyo fail havitaki kuhoji. Sisi tunaohoji. Hawa vilaza wanatuchukia. Story ina gaps nyngi mandondocha yanakubali tu hatataki kuhoji uongo uwekwe wazi. Unakuta mtu anakenua tu meno kama taahira.Unajua kuwa jamiiforums ni jukwaa la greater thinkers! (Miongoni mwa Sifa ya greater thinker ni kufanya analysis na evaluation ya taarifa).
Sasa mtu anaulizwa tu eti anajikinai.
Analazimisha tukubali Kuwa story yake ni true based story, wakati inamaswali mengi ambayo yanaacha alama za kujiuliza.