BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,513
- 474
Watanzania walishaambiwa na CCM kuwa hawataki kura zao,walimu wakiwa ndo wawakilishi wa watanzania. Waalimu walipigwa chini kwenye kurecord sensa.Je bado waalimu na watanzania wote wajinga na wajanja mtaipigia kura CCM MWAKA 2012? NAOMBA MAJIBU YA WAJANJA NA YALE YA WAJINGA PIA.