Sitaki kuamini, Dk Chami, alikuwa Tanzania one, mara mbili?!

Kuna tofauti kati ya think tank na kuwa mtendaji! Always think tank ukiwaweka madarakani wanachemsha, wanatakia wawe watengenezaji sera baadala ya kuwa vingozi wa siasa!
 
Basi, kinyume cha hapo, ukichunguza sana utakuta kuna watu waliofanya "vibaya" darasani lakini katika utendaji ni moto wa kuotea mbali.
 
UNAJUA SI KWAMBA VIONGOZI WOTE WA CCM NI WABOVU HAPANA,ILA MFUMO MZIMA WA CCM Sasa umeparalize kwa kuwa hauna uwezo wa kufanya maamuzi HASA MAGUMU tu kwa kuwa watu wanalindana na kuogopana.THE WHOLE SYSTEM IS CORRUPT EITHER BY ACCEPTING KITU KIDOGO (UKILA RUSHWA HATA OFISINI KWAKO MAAMUZI MARANYINGI YANAKUWA DEPENDENT) AU KWA KUGOPANA (COMPLEXITY OF THE SYSTEM).The only thing ni viongozi wote wasafi kuhamia CHADEMA na kupush kupata serekali mpya yenye maamuzi mapya.
 
uongozi mtu anazliwa nao inakua kwenye damu kuna mtu anakipaji cha kuongoza hatakama hakwenda shule,mf machifu,shule ni vitabu tu,lbd ana uwezo mzuri wa kukumbuka alichofundishwa haina maana ana akili sana
 
Jaribu kufikiria kwa mapana zaidi, ikiwa muheshimiwa Chami alishawahi kumushauri mkuu wa nchi kwamba Ekerege hafai lakini mkuu akuchukua hatua, unafikiri kwamba muheshimiwa chami anaweza kumuumbua mkuu wa nchi sasa hivi kwamba alisha mshauri? kwa hiyo tujue kwamba kuna sababu nyingi ambazo zaweza kumfanya mtu ambaye kimsingi ni mahili katika mambo akaonekana si kitu mbele ya jamii. Mfumo wa uwajibikaji ni mojawapo ya vikwazo kwa watu kutoonyesha umahili wao katika nyanja mbalimbali. Bila kuwa na katiba ambayo inamupunguzia Raisi madaraka ya kuajiri watu bado maprofessor,na madaktari wetu wa falsafa wataonekana vituko kana kwamba hawakwenda hata chekechea.
 
Nimefurahi sana kuhusu uwezo wake darasani, lkn siasa ni taaluma pekee ambayo wenye uwezo wa darasani na asiye na uwezo wanaweza kuchanganyikana na kuongoza watu, lkn pia viongozi wazuri huzaliwa wakiwa viongozi na hawapatii taaluma hii darasani, tazama Kijana Malema hakuwa na uwezo darasani lkn ktk siasa na uongozi ni mzuri, Sir Gordon Brown the former PM and ex UK exchequer ni genious wa uchumi na udhibiti wa sarafu lkn uongozi ulimshinda hii ni kwa kuwa uongozi hakuzaliws nao km talanta, hata Chami arudi ktk Talanta yake atasalimika
 
Hata alipoenda UD aliwaburuza mno wenzake!!!kwenye utendaji ni tofauti sana ukizingatia kuna suala la mfumo mzima kuwa corrupt!

Mara nyingi inashauriwa watu wenye akili sana wafanye kazi za mipango kama makatibu wa wizara.Mawaziri si waandaaji wa mipango bali kusimamia sera tu.Tatizo hapa nchini kwetu uwaziri ni mrija wa kunyonyea mali na kujipatia pesa nyingi za kifisadi kwa minajili ya kujipatia utajiri na utukufu kwenye jamii zao.
 
Huyu jamaa inasemekana alikuwa kichwa mbaya shuleni enzi zile, form four alipata A masomo aliyotahiniwa. Form six, A tupu. Mara zote hizo akiibuka Tanzania One. Amepewa wizara akafanya kama Mwanaasha wa Feza girls. Mi nashindwa kuelewa hizo A alizipataje? alikuwa anajilipua (kudesa)? au kazeeka? Wataalam naombeni jibu!

Ufisadi, Uongozi na Uadilifu hauna uhusiano hauna uhusiano na A unazopata darasani, Ujue tu ukiwa CCM lazima uwe Mwizi tu kwa sababu ni utamadu kuiba.. huwezi ukakaa na avuta bangi halafu wewe ukawa huvuti hata siku moja.
 
Jaribu kufikiria kwa mapana zaidi, ikiwa muheshimiwa Chami alishawahi kumushauri mkuu wa nchi kwamba Ekerege hafai lakini mkuu akuchukua hatua, unafikiri kwamba muheshimiwa chami anaweza kumuumbua mkuu wa nchi sasa hivi kwamba alisha mshauri? kwa hiyo tujue kwamba kuna sababu nyingi ambazo zaweza kumfanya mtu ambaye kimsingi ni mahili katika mambo akaonekana si kitu mbele ya jamii. Mfumo wa uwajibikaji ni mojawapo ya vikwazo kwa watu kutoonyesha umahili wao katika nyanja mbalimbali. Bila kuwa na katiba ambayo inamupunguzia Raisi madaraka ya kuajiri watu bado maprofessor,na madaktari wetu wa falsafa wataonekana vituko kana kwamba hawakwenda hata chekechea.

Hapo kwenye
red the best he could do ilikuwa ni kuachia ngazi mazee! Hapo ndio A's and first classes zake zingekuwa za maana na faida. Bali kama amekubali kubaki ndani ya tope (mfumo wa KIFISADI), hii ina-nullify hata umuhimu wa hizo A's kwa taifa letu.
 
Wanaofaulu sana,, hawa wa A,A hawa , wanatakiwa kuwa Waalimu na udaktari huko....
Sio viongozi...!
Tanzania na Uganda ndiyo nchi yenye maprof na Dr wengi kwenye Politics kuliko hata Marekani..
Chami arudi kufundisha bhana..
 
kweli JAMAA ALIKUWA kichwa kama mnavyo sema, nakumbuka akiwa udsm, yeye ndie alikuwa rais wa serikali ya wanafunzi, akamchagua Hansi lello Mmasi kuwa waziri wa starehe (huyu ni yule aluyekuwa anataka kumng'oa kwenye ubunge kupitia kura za ndani ya ccm). akiwa udsm uchumi, ndiye alikuwa mwanafunzo bora kwa mwaka huo(kwa maana ya GPA), kwenye masters alikuwa wa 2, AKITANGULIWA NA Dr. Deo Mushi, ambaye walikuwa wote URU SEMINARY, baada ya hapo alikwenda CANADA, kufanya PhD, NA KZAI PIA KAFANYA HUKO KWA MIAKA 6, ndio akaja kufanya kama mashauri wa rais katika uchumi, then mkapa akaanda fund raising kwa ajili ya kulikomboa jimbo la moshi v, lililokuwa chinai ya upinzani tokea mfumo wa vyama vingi. Hapo ndipo alipoanza kuahribikiwa, coz aliyemweka kwenye mtandoa ni fisadi mkuu Nkapa, unategemea nini. Mwenzake Dr.Deo yeye alibaki udsm kufundisha, huyu badala ya kufundisha, japo alipewa hiyo fursa bila interview kaona siasa ndio jambo jema...sasa katumbukia nyongo, jimboni kwake hawamtaki, na umma wa watanzania pia hatumtaki! aachie ngazi na 2015, ndio mwisho wake kurudi mjengo. Nawahakikishieni
 
Rafiki yangu aliwahi kunambia kupata A's ina maana uko shallow kwa mambo ya kijamii (hii inajumlisha uongozi) ila unakuwa deep katika mambo ya 'academics' (Book worm)!
 
Kaka songoro! Nakuunga mkono kabisa siasa ni field chafu sana! Kumchukulia hatua ekelege kwa maneno ya wanasiasa ni kinyume na taratibu. Na pia ni lazima hatua zichukuliwe kukiwa na written evidence na sio tuhuma za maneno. Ila sehemu chami ambapo anabanwa ni katika kusimamia utendaji. Madudu yaliyotokea TBS hawezi kujitoa maana wizara yake ilipaswa kuujua huo udhaifu hata kabla kamati haijaufunua. Kwa hiyo kuna swala la kumuwajibisha mkurugenzi (ambalo mi naona Hawezi kuhukumiwa kwa kushindwa hilo sababu taratibu hazikukamilka kumruhusu kufanya hilo) na la pili ni kushindwa kufuatilia utendaji wa maeneo yanayomhusu hivyo kusababisha hasara. Hili hawezi kilikwepa.

Wewe ni Zero kabisa!! Ekerege mambo yake hayakuibuliwa na wanasiasa bali professionals. Kwa hiyo wacha kusema kitu hujui. Kwani hujui office ya CAG ni wasomi na kuna kila evidence? au unataka kutuambia office ya CAG wana beef na Ekerege? Jamani fikiri kabla ya kuandika!
 
Unashangaa nini sana

Hujawahi kuona Daktari akivuta sigara ?

hujawahi kuona Civil Engineer akichakuchua vipimo na magorofa kuanguka ?

huawahi kuona computer scientist , hana antivirus kwenye computer yake ?

Hujawahi kuona Askofu akiiba pesa za kanisa ?


hujawahi kuona takukuru wakipokea rushwa ?

Uadilifu sio Elimu !!!!
Kuzingatia unachujua na kuamini kwamba ni sahihi ni Uadilifu hata kama wewe au mtu mwingine mtapoteza chochote kile

Mhuuuu! Umeandika vizuri!!!!!!!! Safi sana, bila shaka ulifikiri kabla ya kuandika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom