Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Mchoma mahindi na sistaduu wamemachisa hadi wamependeza sana.
Mchoma mahindi na sistaduu wamemachisa hadi wamependeza sana.
Hahahahaha! Watu wabaya nyie.
Ndio hivo! Alafu hakuna mahali nimeenda nikakosa kupata mahindi fresh ya kuchoma... Hii kitu inapendwa sana!.......Asikwambie mtu vitu kama hivi vya barabarabi ni vitamu sana, hapo hakuna cha usta du wala braza men.
Nilitaka kuuliza....maana ya usista du...Wanakula hata "muwa", nini mahindi?
Ila msichana kama huyu anaonyesha uzuri wa zaidi ya skin deep, hajivungi halafu anajua chakula cha asili cha mtanzania.
Big up the so called "sista du" ingawa mie sioni usista du.
Wanakula hata "muwa", nini mahindi?
Ila msichana kama huyu anaonyesha uzuri wa zaidi ya skin deep, hajivungi halafu anajua chakula cha asili cha mtanzania.
Big up the so called "sista du" ingawa mie sioni usista du.
Kwangu mimi sista duu niUsista du kwani ni nini by definition? Mi nilijua ni misemo ya uswazi tu lol
Is it a social status? Upward or downward?
katumwa na anayeendesha.... kazi kweli kweli
Umenikumbusha last month nilikua ktkt kijiji flani kilichokumbwa na baa la njaa , sasa jioni nilivyokua narudi stand kupanda bus nikamendewa na wezi wawili walionikaba na kunipora muhindi wa kuchoma nilokua na kula na kukimbia nao mithili ya wezi waliopora simu ya mkononi.
Njaa haina choice.