U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,012 10,652 Dec 23, 2011 #41 Mahindi,dah kitu napenda sana.Haina noma hata kama ni wapi.
S Sometimes JF-Expert Member Dec 28, 2010 4,536 1,126 Dec 23, 2011 #42 Sisi wengine ni mlo wa siku (chini ya $1)!
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Dec 23, 2011 #43 Safi sana,napenda mabint ka hawa,yani hawajivungi..
chuki JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,715 533 Dec 23, 2011 #44 Husninyo said: Hahahahaha! Watu wabaya nyie. Click to expand... ndugu yako? naomba namba yake.