Wikiliki
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 528
- 139
Wana jf Mkutano wa chadema Arusha jana ulikuwa na lengo la kumtangaza meya wa jiji la Arusha mh. Esthomy Mallaya na naibu wake kwa umma(nguvu ya umma),ungefuatia na maandamano ya kwenda ofisi za halmashauri kumkabidhi ofisi ila serikali kupitia TAMISEM na NEC wakamwomba mwenyekiti wa CHADEMA mh. Mbowe wa ahirishe mkutano wapate muda wa kuzungumza wapate ufumbuzi wa suala la meya.