LOwassa akihama chama ataondoka tu na Mbunge mmoja, Serukamba, wengine wote watamuacha kwenye mataa.Nani hataki kushinda?nani hataki ubunge?kumbuka akina Rostam wataishiana na Lowassa baada ya kuchujwa maana fisadi kama yule hawezi kupambana na serikali.
Niliishasema toka mwanzo, Lowassa ni simba wa kuchorwa tu, nje ya CCM Lowassa ni mwepesi mno.
Niliishasema toka mwanzo, Lowassa ni simba wa kuchorwa tu, nje ya CCM Lowassa ni mwepesi mno.