Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,520
- 764
Jirani yangu aliponikuta nasoma Jf alivutiwa sana jinsi wanaJF wanavyokuwa msaada na aliniomba niwasilishe kwenu tatizo lake kwa ushauri,,anasema
"Mimi ni kijana mwenye miaka 28 ni mtoto wa kwanza ktk familia.Tangu nimeamua kuoa hapo ndipo matatizo yalipoanza,kila mchumba alinikataa kwa sababu yake,,wa 1.alisema mi mfupi (ni kweli )
wa pili,,alisema sina pesa(kazi yangu mwl sek)
wa tatu,,alisema anaenda masomoni ila wiki chache baadae akaolewa pengine.
Nimefikisha wachumba 12 na kila mmoja aliondoka kwa sababu zake.
Naombeni ushauri wenu maana hitaji la kuoa linaniumiza naanza kukata tamaa au nimeumbwa kuishi pasipo mwenzi? Au nina nini jamani? Umri unaenda kuna faida gani mtu kuishi pasipo mwenzi? Sinywi pombe,sio mhuni,afya njema Tatizo ni nini,nisaidieni''
NAOMBA KUWASILISHA
"Mimi ni kijana mwenye miaka 28 ni mtoto wa kwanza ktk familia.Tangu nimeamua kuoa hapo ndipo matatizo yalipoanza,kila mchumba alinikataa kwa sababu yake,,wa 1.alisema mi mfupi (ni kweli )
wa pili,,alisema sina pesa(kazi yangu mwl sek)
wa tatu,,alisema anaenda masomoni ila wiki chache baadae akaolewa pengine.
Nimefikisha wachumba 12 na kila mmoja aliondoka kwa sababu zake.
Naombeni ushauri wenu maana hitaji la kuoa linaniumiza naanza kukata tamaa au nimeumbwa kuishi pasipo mwenzi? Au nina nini jamani? Umri unaenda kuna faida gani mtu kuishi pasipo mwenzi? Sinywi pombe,sio mhuni,afya njema Tatizo ni nini,nisaidieni''
NAOMBA KUWASILISHA