Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Jul 13, 2012 Thread starter #42 watu8 said: sipendi kupendwa Click to expand... Hii haijakaa njema! Ushauri wa bure hii kapimwe! Isijekuwa kuna waya zinagusana!
watu8 said: sipendi kupendwa Click to expand... Hii haijakaa njema! Ushauri wa bure hii kapimwe! Isijekuwa kuna waya zinagusana!
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Jul 13, 2012 Thread starter #43 Unaniona nakunywa chai, then unaniuliza "unakunywa chai?" "unafua?" nikujibu nini wakati unauliza jibu? SPENDI .
Unaniona nakunywa chai, then unaniuliza "unakunywa chai?" "unafua?" nikujibu nini wakati unauliza jibu? SPENDI .
ENZO JF-Expert Member Sep 30, 2010 4,242 1,736 Jul 13, 2012 #44 Mi sipendi M-PESA, TIGO PESA, ...... zinarahisisha kuhonga.
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,162 Jul 13, 2012 #45 Judgement said: Unaniona nakunywa chai, then unaniuliza "unakunywa chai?" "unafua?" nikujibu nini wakati unauliza jibu? SPENDI . Click to expand... halafu wewe nitakucheki..... Sasa hivi sijasettle Judgement Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Judgement said: Unaniona nakunywa chai, then unaniuliza "unakunywa chai?" "unafua?" nikujibu nini wakati unauliza jibu? SPENDI . Click to expand... halafu wewe nitakucheki..... Sasa hivi sijasettle Judgement
nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Jul 13, 2012 #46 Sipendi kupanda daladala, na pia sipendi kununua gari
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Jul 13, 2012 Thread starter #47 BADILI TABIA said: halafu wewe nitakucheki..... Sasa hivi sijasettle Judgement Click to expand... Worry not . Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
BADILI TABIA said: halafu wewe nitakucheki..... Sasa hivi sijasettle Judgement Click to expand... Worry not .
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Jul 13, 2012 Thread starter #48 nitonye said: Sipendi kupanda daladala, na pia sipendi kununua gari Click to expand... Huu ugonjwa wako hautibiki hosp, ni hadi kwa mizee ya kamati .
nitonye said: Sipendi kupanda daladala, na pia sipendi kununua gari Click to expand... Huu ugonjwa wako hautibiki hosp, ni hadi kwa mizee ya kamati .
Remmy JF-Expert Member Jun 9, 2009 4,701 1,799 Jul 13, 2012 #49 Judgement said: Una uso wa Mbuzi! Ulizaliwa vingunguti ? Click to expand... Bafuni hakuna taa. Sasa mi nitaogaje Na giza.
Judgement said: Una uso wa Mbuzi! Ulizaliwa vingunguti ? Click to expand... Bafuni hakuna taa. Sasa mi nitaogaje Na giza.
CharmingLady JF-Expert Member Apr 16, 2012 18,250 12,868 Jul 13, 2012 #50 cpendi nikiwa naandika hii comment afu mtu wa pemben yangu kakodoa mimacho kuisoma!