Sioni umuhimu wa facebook kwa mwanafunzi, siwezi jiunga nayo nitajiunga muda ukifika - Moses Swai

Huyo dogo ni mshamba tu, hata JF usipoitumia kwa malengo chanya bado ni sifuri tu kwako haitakusaidia kitu, Facebook imenzishwa na Mwanafunzi wa Havard ili kuwafanya wawe connected, sasa mtu mwenye mawazo finyu leo aje kuiponda facebook bila kujuwa imetukutanisha hata na watu ambao hatukutegemea kuja kuonana tena huyo ni zezeta tu.
Commucation is power. kwa kutambuwa umuhimu wa facebook leo hii karibu tovuti zote lazima iwe na option ya SHARE FACEBOOK.
alichokiongea huyu dogo sio sheria! He can b challenged or supported basing on the ipso facto! Thats y this is he home of the people who dare to talk openely!!
 
Ni vizuri kutenga muda wa kusoma as well na time nyingine unajichanganya...elimu siyo kufaulu mitihani tu.
 
I know these TzOneS,hebu fuatilieni waliokwsha tangulia wako wapi kulnganisha na waliowapita?kufaulu mtihan ni nje ya uelewa wa mazingra unamoishi na kuyatawala na jins ya kuitumia elimu hyo,fb inategemea na m2 jinc ya kutawala vinavymzunguka na si kumtawala yeye.kama hvyo basi hata maandko matakatfu yanatumika vibaya,michezo,jf,nk.TOKA NIMEJIUNGA FB NA JF NIMEWEZA KUJIFUNZA MENGI SANA NA KUFAULU KUMEZIDI,unaweza ukawa na div.3 na ukawa na knowledge ya mambo meng kumshnda mwny div 1.lakn pia sio interest yake...
 
Dogo mshamba tu huyo - Zamani Azania Boys watu tunafaulu div 1 tunapata; club tunaenda, totoz za Janagwani, Zanaki, Kisutu, Forodhani tunazifukuzia,internet cafe tunaenda stori tunapiga na class hatuingii. Cha muhimu ni DESIRE YA KUFAULU VIZURI NA PLAN NZURI YENYE KUZINGATIA RATIBA. Ina mana yeye mda wote ni kusoma tu? MSHAMBA TU HUYO.
enzi hizo division one nyingi hasa.dar ilikuwa ni shauri ya uvujaji wa paper.
 
.....Huyo bwana mdogo amepotoka; kwasababu hajawahi kuwa facebook sidhani kama anaweza kutoa opinion kuhus Fb. Binafsi imenishtua kusoma maneno yake.....kwa kijana intellingent hapaswi kuogopa facebook na computer. Angepaswa kuwa mdadisi kujua kwanini watu wanapenda facebook na je huko wanafanya nini. Then, akiona inampotezea muda wake aamue vinginevyo. Kwangu mimi, hakuna maarifa mabaya na elimu ni zaidi ya darasani. Angesema kwa kifupi tu kuwa hana interst na mabo ya teknolojia ya mawasiliano ya computer; Hizo nyinige ni mbwembwe tu kama sio porojo!
 
Mkuu mi nimepiga Azania Boys 6 years na wale wote wanaopata maziro form six pale ni wageni waliotoka shule zenye mazingira tofauti na A.S.S; Pili asikudanganye mtu ukiacha 1998 pepa za mara ya kwanza zilivuja zikarudiwa early 1999, miaka yote nilokaa pale ckuwahi kupata/kuona pepa ya kweli. Kuhusu walimu A.S.S hakukuwa na walimu wa kutosha mfano toka naanza form 5 hadi namaliza 6 hatukuwa na mwalimu wa chemistry darasani; zaidi tulikuwa tunasoma tuition kwa maku maku, practical za physics tunafanyia pugu sec kwa malipo ya 1000/ day. Nasema dogo mshamba kwa kuwa anawatisha wenzake, kusoma sio jela unaweza ukaangalia movies, tv,facebook ukajirusha na at the end uka pass na grade nzuri tu. (AZANIA STYLE)
Inawezekana ukawa unasema ukweli kidogo ingawa tutakiwa tuangalie kiwango cha elimu kilivyo sasa.
Kiwango kimeshuka na badala ya watu kusoma na ku comprehend wanasoma past papers.
Ili tujiridhishe vizuri tunaomba tupate lifestyle ya kumi bora then tunaweza angalau preliminarily kujua kuwa life style haina impact kwenye matokeo ya masomo.
binafsi naamini ya kuwa bila kuwa na self discipline facebook ina madhara makubwa si kwa wanafunzi tu hata wafanyakazi.
Hongera kijana ingawa inaelekea ndo wale wale wa elite society.
 
Dogo mshamba tu huyo - Zamani Azania Boys watu tunafaulu div 1 tunapata; club tunaenda, totoz za Janagwani, Zanaki, Kisutu, Forodhani tunazifukuzia,internet cafe tunaenda stori tunapiga na class hatuingii. Cha muhimu ni DESIRE YA KUFAULU VIZURI NA PLAN NZURI YENYE KUZINGATIA RATIBA. Ina mana yeye mda wote ni kusoma tu? MSHAMBA TU HUYO.

Kuna vichwa vipo shule za kata vipata one na Facebook ndiyo makazi yao..
 
Dogo mshamba tu huyo - Zamani Azania Boys watu tunafaulu div 1 tunapata; club tunaenda, totoz za Janagwani, Zanaki, Kisutu, Forodhani tunazifukuzia,internet cafe tunaenda stori tunapiga na class hatuingii. Cha muhimu ni DESIRE YA KUFAULU VIZURI NA PLAN NZURI YENYE KUZINGATIA RATIBA. Ina mana yeye mda wote ni kusoma tu? MSHAMBA TU HUYO.


Ulipata pepa wewe
 
Dogo kichwa kimeishajaa, kupata 1 Basi kila kitu anachosema tukubali hapana dogo, Facebook ina faida yake na hasara zake! Kuna wasomi ni PhD zao wanashinda Facebook kutoa elimu.
 
acheni kumnanga dogo...simu/internet kwa kweli zinawapotezea muda mwingi wanafunzi kwa sababu wengi wao hawajui jinsi ya ku manage muda wao...!
 
hiyo inaonesha dogo alikuwa anatumia muda mwng kukariri kulko kuelewa!...namshauri ajifunze tm management na hapo atajichanganya na kujua jamii zaidi!..
 
hiyo inaonesha dogo alikuwa anatumia muda mwng kukariri kulko kuelewa!...namshauri ajifunze tm management na hapo atajichanganya na kujua jamii zaidi!..

hivi kuna sehemu dogo amesema kwamba alikuwa anasoma muda wote na hafanyi mambo mengine yeyote nje ya masomo? acheni hizo...huwezi kupata div 1 ya point 7 kwa kukariri kila kitu.
 
Dogo kichwa kimeishajaa, kupata 1 Basi kila kitu anachosema tukubali hapana dogo, Facebook ina faida yake na hasara zake! Kuna wasomi ni PhD zao wanashinda Facebook kutoa elimu.

mdau kumbe hujaelewa ni wakati gani wa kupoteza muda wako kwenye fesibuku. Ukiwa na PhD yako,mambo safi it's ok. Lakini si kwa mwanafunzi ambaye at that level huna chochote cha kukubeba humu duniani. THINK.
 
Back
Top Bottom