Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,466
- 6,511
Kaa na Mke wako umwambie ajirekebishe.
Ukisoma vizuri utaelewa ana maana gani.
Leo walau nimeona kwanini sikuingia kwenye ndoa, kwenye mahusiano yangu yooteee niliyokiwa nayo ningali mschana nilikuwa nawaambia ukweli mwanzo kabisa wanaponitongoza....
Wa kwanza nilimwambia mie ni bikra Ila ukiitoa na tukaja kuoana ujue mapemaa hujaoa jembe, mie mvivu hatariii nafanya kazi nikijiskia....
Waliofuata wote nilikuwa nawaambia mie sio bikira na nimeachana na x (nawataja wote waliopita) namalizia na hiyo ya ukinioa ujue mapemaa hujaoa jembe, niko mvivu hatarii kazi zote nazijua Ila nafanya nikijiskia kuanzia sasa hivi kwenye mahusiano hadi huko tuendako....
Sikupenda kumdanganya mtu au kumhadaa halafu aje anianzishie uzi kama hivi, akuuu.
Kigakula sinia bachela.
Achana na huyo mwanamke hana faida kabisa mchukue housegirl maana anajituma mzalishe na yeye akianza kuwa kama mkeo mwache uchukue mwanamke mwingine. ...............................
Sio kila maamuzi unafannya kwa kutumia huko chini. Mkeo akianza kumfikiria houseboy ambaye anamdekeza,anampa muda wake,anampa vizawadin.k how will it be? Hivi wanaume wa Hivi bado wapo? Kazi kwelikweli. ....
Anamadhaifu ongea nae huenda kazi zinambana sana that's it.Utajitafutia matatizo makubwa ndani ya ndoa yako
But angalau unatiana sana au unajua kutiana.si ndiyo?hilo ndo la msingi sana
Hili ni jukumu la wazazi wake, ni ngumu sana kumrekebisha mtu mzima hasa mke. Atakukunjia midomo na kukuchukia. Ni sumu kujaribu kumrekebisha mke kwa kile anachoamini ni sahihi kwa upande wakeKaa na Mke wako umwambie ajirekebishe.
Siku hizi watoto wetu tuliowazaa kwa kusahau kuvaa condom nao wameoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi nikikuoa panapo majaaliwa nitakuwa nakusaidia hadi kupikaHamkuyajadili mapema kwani? Au ndo nyie eti ukishaoa ugusi nguo tena kufua wala kaz yoyote ya nyumban! Tunapenda kusaidiwa.
Umekosea utakuwa kigavula senia machela.Leo walau nimeona kwanini sikuingia kwenye ndoa, kwenye mahusiano yangu yooteee niliyokiwa nayo ningali mschana nilikuwa nawaambia ukweli mwanzo kabisa wanaponitongoza....
Wa kwanza nilimwambia mie ni bikra Ila ukiitoa na tukaja kuoana ujue mapemaa hujaoa jembe, mie mvivu hatariii nafanya kazi nikijiskia....
Waliofuata wote nilikuwa nawaambia mie sio bikira na nimeachana na x (nawataja wote waliopita) namalizia na hiyo ya ukinioa ujue mapemaa hujaoa jembe, niko mvivu hatarii kazi zote nazijua Ila nafanya nikijiskia kuanzia sasa hivi kwenye mahusiano hadi huko tuendako....
Sikupenda kumdanganya mtu au kumhadaa halafu aje anianzishie uzi kama hivi, akuuu.
Kigakula sinia bachela.
Sawa baby nakuaminiaNa Mimi nikikuoa panapo majaaliwa nitakuwa nakusaidia hadi kupika
Sent using Jamii Forums mobile app
Onana na viongozi wako wa dini. Wanaweza kukusaidia vizuri zaidiNmetafakari sana jambo hili na kujiuliza why nikae na mke?
1. Anapiga house girl
2. Nguo amafua gouse girl
3. Usafi house girl
4. Watoto analea house girl
5. Chakula naandaliwa na housegirl
6. Mke anatumia jina lake mwenyewe
7. Unyumba ananipa kwa ratiba
8. Vyakula anaenda nunua housegirl
9. Bajeti anapanga house girl
10.................
Sasa kwa nini niwe na mke? Kama watoto nshapata watatu. Kama ni papuchi naweza lipia nikawa napata napohitaji as long nina pesa.
Verified Mcharuko ... Verified Single Maza..... Utapigwa Pu.mbu Hadi uzee wako
Sent using Jamii Forums mobile app