Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Freemaan Mbowe amesema kamwe haongozi kundi au genge la wasaka vyeo na madaraka ndani ya chama chake bali anaongoza kundi la watu wanaopenda mabadiliko.
Kiongozi huyo amesema binafsi hawezi kwa sasa kusema atagombea Urais au Ubunge kwa sababu huu si muda wake hata kidogo.
Mbowe amesema mwanachama yeyote makini wa CDM kwa sasa ni muda wa kuwaunganisha wanachama na watanzania kwa ujumla na wala si muda wa kuwagawa kukimbilia madaraka.Kiongozi huyo amesema ndiyo maana makamanda wote wakiongozwa na Dr Slaa wamejichimbia vijijini kwa kazi moja tu ya kueneza vuguvugu la mabadiliko-M4C
Source: Tanzania Daima
Du jamaa yangu Shibuda simsikii, lakini haya yalimtokea Mrema maana mpaka wale wa kishimundu wapiga brush na mafundi saa nao walikuwa majukwaani.Mbowe anaongoza genge la wachaga kama Lema,Nassar,Henry kilewo,Deo mushi,mukya,munishi etc ndo maana watu kutoka pande zingine za tz hawakutokea!Zitto hawezi fanya movement for chaga hata siku moja.
Labda kwa ticket ya chama cha mabwepande au urais wa TFF au wa jumuiya ya watu wanaotoka KigomaZitto kwa kuwa amejipanga kugombea urais 2015, usitegemee kumuona kwenye harambee za kuchangisha milion 257 ambapo zote ni ahadi isipokuwa milioni 20. Au kuzunguka kwenye mikutano isiyo na tija. Rais ZZK.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Freemaan Mbowe amesema kamwe haongozi kundi au genge la wasaka vyeo na madaraka ndani ya chama chake bali anaongoza kundi la watu wanaopenda mabadiliko.
Kiongozi huyo amesema binafsi hawezi kwa sasa kusema atagombea Urais au Ubunge kwa sababu huu si muda wake hata kidogo.
Mbowe amesema mwanachama yeyote makini wa CDM kwa sasa ni muda wa kuwaunganisha wanachama na watanzania kwa ujumla na wala si muda wa kuwagawa kukimbilia madaraka.Kiongozi huyo amesema ndiyo maana makamanda wote wakiongozwa na Dr Slaa wamejichimbia vijijini kwa kazi moja tu ya kueneza vuguvugu la mabadiliko-M4C
Source: Tanzania Daima
Mbowe anaongoza genge la wachaga kama Lema,Nassar,Henry kilewo,Deo mushi,mukya,munishi etc ndo maana watu kutoka pande zingine za tz hawakutokea!Zitto hawezi fanya movement for chaga hata siku moja.
Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.
Kuna saa najiuliza laiti Mbowe asingekuwa Mkiti huenda leo CDM ingekuwa historia.
Zitto hata udiwani hawezi kushinda mwaka 2015, mwenye Not book na ayaandike maneno haya. tuombeane uhai kwa wale mtakaommis Bungeni.
kwa hiyo hata ziara ya mtwara alikuwa bungeni?wakati slaa na wenzake wanakula magimbi ifakara zitto anawaza kusafishiwa njia ,atatangaza sana ila hahika urais atausikia tu.Zitto yuko bungeni mkuu mpaka bunge liishe ndio atajiunga na wenzake
Mbowe anaongoza genge la wachaga kama Lema,Nassar,Henry kilewo,Deo mushi,mukya,munishi etc ndo maana watu kutoka pande zingine za tz hawakutokea!Zitto hawezi fanya movement for chaga hata siku moja.