- Thread starter
- #61
Wewe njaa inakutumikisha kazi chafu.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/298724-kura-ya-maoni-zitto-vs-dr-slaa-23.html#post4413384
Wewe njaa inakutumikisha kazi chafu.
Mbowe anaongoza genge la wachaga kama Lema,Nassar,Henry kilewo,Deo mushi,mukya,munishi etc ndo maana watu kutoka pande zingine za tz hawakutokea!Zitto hawezi fanya movement for chaga hata siku moja.
Jimboni kwake tu hali mbaya itakuwa kutawala nchi nzima? Huyu jamaa yako anafanya atishia kwenye "tragedy of miscalculations" na kusahaulika Tanzania ndani ya miaka miwili ijayo.Labda kama atapeperusha bendera kupitia LEKA TUTIGITE.
Vijana wa LEKA TUTIGITE ndio wenye mawazo huru, sio wewe! Mawazo huru kuchukua rushwa Tanesco,NSSF,PPF,PSPF na kuitetea Dowans? Demokrasia ina mipaka yake na hakuna kitu kinachomponza Zitto kama kutetewa na watu kama wewe.Angalia sasa hata CCM wamemgeukaVijana wote wenye mawazo huru wanamuunga mkono Zitto, ninyi mnaofaidika na udhalimu wa akina Mbowe, Slaa, na Josephine hamuwezi hata siku moja kumuunga mkono mkombozi wa haki.
Vijana wa LEKA TUTIGITE ndio wenye mawazo huru, sio wewe! Mawazo huru kuchukua rushwa Tanesco,NSSF,PPF,PSPF na kuitetea Dowans? Demokrasia ina mipaka yake na hakuna kitu kinachomponza Zitto kama kutetewa na watu kama wewe.Angalia sasa hata CCM wamemgeuka
wanajf,tuntemeke id zako zote 16 zimeunganiswa na invisible au ameziachia zijitegemee, halafu nashangaa sana wewe unakula na kunya kwa pesa ya chadema na ni kiongozi wa chadema ila ukikaa nyuma ya keyboard unakioponda chama chako, kwa watu mbwa kama wewe na zitto ni heri ccm itawale milele.
Vijana wote wenye mawazo huru wanamuunga mkono Zitto, ninyi mnaofaidika na udhalimu wa akina Mbowe, Slaa, na Josephine hamuwezi hata siku moja kumuunga mkono mkombozi wa haki.
Siasa za tumbo, ndio maana Zitto alipojua kuwa mtatumia majitaka aliwaface ninyi kwanza kama mnaweza ku prove hizo tuhuma zenu awaachie huo uenyekiti wa POAC na umakamu mwenyekiti wenu, wote mlifyata kuanzia Mbowe na kila mtu sasa hapa ndipo mnapoweza kuja kutoa shutuma bila kuzithibitisha.
Waliomtuhumu ni CCM, alituface sisi kama nani? Uchunguzi haujaisha na Kamati ya Ngwilizi haijatoa ripoti yake wewe unatafuta huruma hapa? Ni suala la muda tu kabla ya mambo yote kuwa hadharani. Atuachie Uenyekiti wa POAC si amrudishie Mkwe wake JK aliyeshirikiana na Pinda kuwashawishi CCM wampe yeye? Kuna Chadema mwingine ambaye ni M/kiti wa oversight committee? Ndio ujue jamaa yako ni CCM na CCM wenzio ndio waliompa Uenyekiti, usitufanye wajinga. Mkajipange upyaaSiasa za tumbo, ndio maana Zitto alipojua kuwa mtatumia majitaka aliwaface ninyi kwanza kama mnaweza ku prove hizo tuhuma zenu awaachie huo uenyekiti wa POAC na umakamu mwenyekiti wenu, wote mlifyata kuanzia Mbowe na kila mtu sasa hapa ndipo mnapoweza kuja kutoa shutuma bila kuzithibitisha.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/298724-kura-ya-maoni-zitto-vs-dr-slaa-23.html#post4413384
Wewe hizo polls zenu zimewasaidia nini? Sio hizi zilikuwa zimempa ushindi wa zaidi ya asilimia 80% Slaa mbele ya JK?
Waliomtuhumu ni CCM, alituface sisi kama nani? Uchunguzi haujaisha na Kamati ya Ngwilizi haijatoa ripoti yake wewe unatafuta huruma hapa? Ni suala la muda tu kabla ya mambo yote kuwa hadharani. Atuachie Uenyekiti wa POAC si amrudishie Mkwe wake JK aliyeshirikiana na Pinda kuwashawishi CCM wampe yeye? Kuna Chadema mwingine ambaye ni M/kiti wa oversight committee? Ndio ujue jamaa yako ni CCM na CCM wenzio ndio waliompa Uenyekiti, usitufanye wajinga. Mkajipange upyaa
Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.
Waliomtuhumu ni CCM, alituface sisi kama nani? Uchunguzi haujaisha na Kamati ya Ngwilizi haijatoa ripoti yake wewe unatafuta huruma hapa? Ni suala la muda tu kabla ya mambo yote kuwa hadharani. Atuachie Uenyekiti wa POAC si amrudishie Mkwe wake JK aliyeshirikiana na Pinda kuwashawishi CCM wampe yeye? Kuna Chadema mwingine ambaye ni M/kiti wa oversight committee? Ndio ujue jamaa yako ni CCM na CCM wenzio ndio waliompa Uenyekiti, usitufanye wajinga. Mkajipange upyaa
kweli.
Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.
Japo sikubaliani na madai yako ila atleast you have managed to put together valid points. Kwa wana CCM kushabikia tiketi ya Zitto ni jambo la kutilia shaka. Ila mimi si miongoni mwa wana CCM, nachofanya kwa Zitto ni kuwa upande unaonewa. Popote itakapotokea muoneaji na muonewaji mimi nitakuwa upande wa muonewaji.
Vijana wa LEKA TUTIGITE ndio wenye mawazo huru, sio wewe! Mawazo huru kuchukua rushwa Tanesco,NSSF,PPF,PSPF na kuitetea Dowans? Demokrasia ina mipaka yake na hakuna kitu kinachomponza Zitto kama kutetewa na watu kama wewe.Angalia sasa hata CCM wamemgeuka