- Thread starter
- #81
Wasanii wote wa leka dutigite walipigia kampeni ccm mwaka 2010 na leo mlezi wao ni zitto. hii ina maana gani? zitto analea wapigia kampeni wa ccm!. Hii haiingii akilini. Mia
Mungu anazidi kuwafumbua macho watanzania...
Wasanii wote wa leka dutigite walipigia kampeni ccm mwaka 2010 na leo mlezi wao ni zitto. hii ina maana gani? zitto analea wapigia kampeni wa ccm!. Hii haiingii akilini. Mia
Hii nchi ni laini kama maini "Joshua Nassari"
Ukila vya wenzako lazima na wewe Uliwe "JK"
Hii nchi ni laini kama maini "Joshua Nassari"
Wasanii wote wa leka dutigite walipigia kampeni ccm mwaka 2010 na leo mlezi wao ni zitto. hii ina maana gani? zitto analea wapigia kampeni wa ccm!. Hii haiingii akilini. Mia
Kwahiyo Zitto ni Mwislamu mwenzako, that's what is you're Priority!! Stupidy Man to the maximum.Japo sikubaliani na madai yako ila atleast you have manage to put together valid points. Kwa wana CCM kushabikia tiketi ya Zitto ni jambo la kutilia shaka. Ila mimi si miongoni mwa wana CCM, nachofanya kwa Zitto ni kuwa upande unaonewa. Popote itakapotokea muoneaji na muonewaji mimi nitakuwa upande wa muonewaji.
Zitto yuko bungeni mkuu mpaka bunge liishe ndio atajiunga na wenzake
Kwa hiyo kila aliyeshiriki kampeni za CCM 2010 haturuhisiwi kushirikiana naye? Vipi Ole Milya?
Kwahiyo Zitto ni Mwislamu mwenzako, that's what is you're Priority!!
Matola jaribu kufanya uchunguzi kidogo, sijataja uislamu wa Zitto popote and if it will help you sijawahi kumuona Zitto muislam kwa kuwa haishi maisha ya kiislamu.
Zitto yuko bungeni mkuu mpaka bunge liishe ndio atajiunga na wenzake
Hahahaa molemo kijana mnafiki sana wewe,hizi busara umeanza lini,?unafiki bwana!vipi mmeshagawana zile ml 257 ?msimsahau na urio wa kibororoni
Hapana mkuu, ndugu yetu Lema atazitumia kwenda kufungua matawi ya CDM Ulaya na China.
Hahahaa molemo kijana mnafiki sana wewe,hizi busara umeanza lini,?unafiki bwana!vipi mmeshagawana zile ml 257 ?msimsahau na urio wa kibororoni
Hapana mkuu, ndugu yetu Lema atazitumia kwenda kufungua matawi ya CDM Ulaya na China.
Bora uonekane mbaya mwanzo kuliko kusubiri mpaka tayari umechelewa - Iwe hii mipasho analengwa ZZK, iwe kuna mgogoro mkubwa ndani ya Chadema, ni bora kuwekana sawa hivi sasa. Kama viongozi wakuu wa CDM hawatalizuwia hili, hata hawa wanaohama vyama vyengine na kujiunga na CDM wataanza kuutaka uraisi hivi sasa.Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.
ni kweli kusoma hujui,hata picha huoni?
Bora uonekane mbaya mwanzo kuliko kusubiri mpaka tayari umechelewa - Iwe hii mipasho analengwa ZZK, iwe kuna mgogoro mkubwa ndani ya Chadema, ni bora kuwekana sawa hivi sasa. Kama viongozi wakuu wa CDM hawatalizuwia hili, hata hawa wanaohama vyama vyengine na kujiunga na CDM wataanza kuutaka uraisi hivi sasa.
HONGERA MBOWE KWA BUSARA