Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,353
- 10,140
Kama maneno MENE MENE TEKELI NA PERESI yalikuwa kwa ajili ya mfalme basi yalikuwa kwa ajili ya mwanasiasa huyo na wajao katika siku zote ulimwenguni.
Maneno katika biblia na Qur'an hayajaandikwa hivi hivi tu bali yana misingi yake na makusudi yake. Pascal angalia hilo.
Maneno matakatifu hutoa funzo, huonya, hukumbusha na kutoa matumaini.
Ama hakika huu ndio wakati wa kuyatumia maneno hayo kuliko wakati mwingine wowote tuliowahi kuupitia Tanzania
nakazia MENE MENE TEKELI NA PERESI!
Maneno katika biblia na Qur'an hayajaandikwa hivi hivi tu bali yana misingi yake na makusudi yake. Pascal angalia hilo.
Maneno matakatifu hutoa funzo, huonya, hukumbusha na kutoa matumaini.
Ama hakika huu ndio wakati wa kuyatumia maneno hayo kuliko wakati mwingine wowote tuliowahi kuupitia Tanzania
nakazia MENE MENE TEKELI NA PERESI!