Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,521
- 113,654
Wanabodi,
Katika uendeshaji wa siasa zetu, tumewahi kuaswa mara nyingi tuu kuwa tusichanganye dini na siasa.
Sisi Wakristo tumefundishwa na Bwana Wetu Yesu Kristo kuwa " Mpeni Mungu Yaliyo ya Kimungu na Mpeni Kaisari Yaliyo ya Kaisari"
Lengo ni kueleza kuwa sisi binadamu tuko kwenye tawala mbili tofauti, au falme mbili tofauti. Falme hizo ni falme za mbingu na falme za duniani. Falme za mbingu ndio ufalme wa Mungu na falme za duniani ni utawala wa Kaisari.
Tumche Mungu na kutii amri zake ikiwemo kufanya yale ya Kimungu ili tuweze kuurithi ufalme wa Mungu, ikiwemo kutimiza wajibu wetu kwa Mungu wetu kwa mujibu wa mafundisho ya dini zetu.
Lakini wakati huo huo tuna wajibu wa kutii mamlaka zote halali za Kaisari kwasababu mamlaka zote huwekwa na Mungu, hata Hitler aliwekwa na Mungu, hata Iddi Amini aliwekwa na Mungu, ni Mungu ndiye ameweka serikali za mataifa hivyo wananchi wote tuna wajibu wa kutii mamlaka za kiserekali kwa kufuata sheria bila shuruti, hata tuwe hatuzipendi vipi mamlaka hizo au hatuwapendi vipi viongozi wake, maadam tumefundishwa kumpa Mungu yaliyo ya Kimungu na kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari, ukienda kinyume, ni kutenda dhambi kwa Mungu.
Mfano hoja ya sadaka, usipomtolea Mungu fungu la kumi ni dhambi, utaadhibiwa kwa kutokufanikiwa. Vivyo hivyo serikali za mataifa zinatoza kodi, usipolipa kodi sio tuu unaikosea mamlaka ya Kaisari, bali pia ni dhambi kwa Mungu kwa kutomiza wajibu wako wa kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari. Hivyo wajemeni tufuate sheria bila shuruti.
Katika kutokuchanganya dini na siasa, mimi nimefanya utafiti wangu mdogo tuu humu jf kuhusu matumizi ya maneno ya Mungu kutoka kwenye vitabu vitakatifu vya dini.
Utafiti wangu, umetumia sampling ya matumizi ya maneno ya Biblia Takatifu Kitabu cha Wafalme. Neno " MENE MENE TEKELI NA PERESI".
Nimefuatilia threads kadhaa zilizotumia neno hilo kisiasa humu jf, nikakutana na an amazing coincidence ya ajabu kuhusu threads hizo,
Kabla sijaisema coincidence hiyo ni nini, naomba nikupe na wewe kaji homework kadogo tuu, zichungulie threads hizi, sio lazima usome contents bali kwa kuzifungua tuu na kuziangalia, can you notice what they have in common?. How can it be?. Is just a coincidence or it is amazing coincidence?.
[/URL]
Kufuata coincidence hiyo, nime reach conclusion kuwa sio tuu hatupaswi kuchanganya dini na siasa, bali pia hatupaswi kutumia maneno ya Mungu, kuwianisha na hoja za kisiasa.
Jumapili Njema
Paskali
Bariadi, Simiyu (near Gambosh)
Katika uendeshaji wa siasa zetu, tumewahi kuaswa mara nyingi tuu kuwa tusichanganye dini na siasa.
Sisi Wakristo tumefundishwa na Bwana Wetu Yesu Kristo kuwa " Mpeni Mungu Yaliyo ya Kimungu na Mpeni Kaisari Yaliyo ya Kaisari"
Lengo ni kueleza kuwa sisi binadamu tuko kwenye tawala mbili tofauti, au falme mbili tofauti. Falme hizo ni falme za mbingu na falme za duniani. Falme za mbingu ndio ufalme wa Mungu na falme za duniani ni utawala wa Kaisari.
Tumche Mungu na kutii amri zake ikiwemo kufanya yale ya Kimungu ili tuweze kuurithi ufalme wa Mungu, ikiwemo kutimiza wajibu wetu kwa Mungu wetu kwa mujibu wa mafundisho ya dini zetu.
Lakini wakati huo huo tuna wajibu wa kutii mamlaka zote halali za Kaisari kwasababu mamlaka zote huwekwa na Mungu, hata Hitler aliwekwa na Mungu, hata Iddi Amini aliwekwa na Mungu, ni Mungu ndiye ameweka serikali za mataifa hivyo wananchi wote tuna wajibu wa kutii mamlaka za kiserekali kwa kufuata sheria bila shuruti, hata tuwe hatuzipendi vipi mamlaka hizo au hatuwapendi vipi viongozi wake, maadam tumefundishwa kumpa Mungu yaliyo ya Kimungu na kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari, ukienda kinyume, ni kutenda dhambi kwa Mungu.
Mfano hoja ya sadaka, usipomtolea Mungu fungu la kumi ni dhambi, utaadhibiwa kwa kutokufanikiwa. Vivyo hivyo serikali za mataifa zinatoza kodi, usipolipa kodi sio tuu unaikosea mamlaka ya Kaisari, bali pia ni dhambi kwa Mungu kwa kutomiza wajibu wako wa kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari. Hivyo wajemeni tufuate sheria bila shuruti.
Katika kutokuchanganya dini na siasa, mimi nimefanya utafiti wangu mdogo tuu humu jf kuhusu matumizi ya maneno ya Mungu kutoka kwenye vitabu vitakatifu vya dini.
Utafiti wangu, umetumia sampling ya matumizi ya maneno ya Biblia Takatifu Kitabu cha Wafalme. Neno " MENE MENE TEKELI NA PERESI".
Nimefuatilia threads kadhaa zilizotumia neno hilo kisiasa humu jf, nikakutana na an amazing coincidence ya ajabu kuhusu threads hizo,
Kabla sijaisema coincidence hiyo ni nini, naomba nikupe na wewe kaji homework kadogo tuu, zichungulie threads hizi, sio lazima usome contents bali kwa kuzifungua tuu na kuziangalia, can you notice what they have in common?. How can it be?. Is just a coincidence or it is amazing coincidence?.
Mene mene,tekeli na peresi. Asomaye na afahamu
Kwa siku kadhaa tumeshuhudia vita inayoendelea toka kwa Dr. Bashiru Ally ambaye ni katibu mkuu wa chama tawala. Kimantiki nimeona kwamba haikuwa sahihi kwa doctor ambaye naamini amejaa weledi wa hali ya juu ingawa sasa naanza kupata mashaka na weledi huu. Huu naona kwamba ni ufalme...
www.jamiiforums.com
Mene mene tekeli na peresi - Lema
Salamu Watanzania, Naomba tusome andiko hili kutoka katika Biblia. Daniel 5: 19-21 na mstari wa 25 hadi 28. Na kwa sababu ya ule ukuu aliompa, watu wa kabila zote, na mataifa, na lugha, wakatetemeka na kuogopa mbele yake; aliyetaka kumwua alimwua; na aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai...
www.jamiiforums.com
Mene mene tekel na peres- Ufalme wako umepimwa machoni pa Mungu nao unaonekana Umepungua.
Ufalme wake Umepimwa nao Umeonekana Umepungua.
www.jamiiforums.com
Mene Mene Tekeli Peresi ya Magufuli
Siku mbili zilizopita vyombo vya habari vimeripoti kwamba NEMC imetangaza kwamba kuanzia sasa mirindimo yoyote na kelele zozote zinazohusiana na sherehe, matangazo, sauti kubwa kutoka majumba ya starehe, magari ya poromosheni, makanisani yatakuwa yanalipiwa shilingi milioni 5 hadi milioni 10. Na...
www.jamiiforums.com
CCM "Mene Mene Tekeli na Peresi" ....?!
Wanabodi, Hili neno "Mene Mene Tekeli na Peresi", lililetwa humu jf kwa mara ya kwanza na mmoja wa Ma Great Thinkers wetu humu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwenye uzi wake huu. "Mene Mene Tekeli na Peresi"! Unajiuliza ni nini maneno hayo? Sikiliza!!! PodOmatic | Podcast - KLH News - MAHOJIANO YA...
www.jamiiforums.com
Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi
Daniel 5:24-31 inasema; "Ndipo kile kitanga cha ule mkono kikaletwa kutoka mbele zake, na maandiko haya yameandikwa. Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha. TEKELI, umepimwa katika...
www.jamiiforums.com
Kufuata coincidence hiyo, nime reach conclusion kuwa sio tuu hatupaswi kuchanganya dini na siasa, bali pia hatupaswi kutumia maneno ya Mungu, kuwianisha na hoja za kisiasa.
Jumapili Njema
Paskali
Bariadi, Simiyu (near Gambosh)