Nikijiweka kwa mbaaaliiii. Naona kuwa hawa jamaa walipania kupiga/kuumiza hata kuua watu siku hiyo no matter what. Unfortunately walikuwa too reckless to know what was happening on to their mother party (CCM) kule Bububu. Wakisema CCM ulikuwa mkutano wa ndani picha zinawaumbua, na wakisema CHADEMA walikuwa wanafanya mkutano wa hadhara/maandamano or whatever sasa swali ni mabomu waliyorusha ndani ya ofisi walikuwa wanaua mbu?
Conclusion: Hawa watu walipania mno kupita kiasi hata wakashindwa kujipanga. Sasa hata wakisema uongo wa kitaalamu kiasi gani ni bure kwani ukweli umeshawatangulia
Conclusion: Hawa watu walipania mno kupita kiasi hata wakashindwa kujipanga. Sasa hata wakisema uongo wa kitaalamu kiasi gani ni bure kwani ukweli umeshawatangulia