MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Hako ka njagu kanacho koki ndicho kako pia kwenye ile picha ya jamaa akiuwawa!
Huyu alikuwa na hamu ya damu ya mtu !
Hako ka njagu kanacho koki ndicho kako pia kwenye ile picha ya jamaa akiuwawa!
Huyu alikuwa na hamu ya damu ya mtu !
du?polisi mna matatizo coz kwa mtu mwenye akili hawezi kupiga bomu kwenye nyumba ya mtu.:A S 465:
Aisee nauli ya KLM mpaka the Hague ni kiasi gani?