Mkuu hili ulilonena NENO! umekidhi mbele ya wakatiHuyu mtoa mada ana hoja ila hajaipangilia.
Nijuavyo mimi; Siasa ni fani (career) sio taaluma (profession). Ili uwe mwanasiasa mzuri na kiongozi bora lazima uwe na msingi mzuri wa elimu na tabia. Elimu ni moja ya nguzo kuu za msingi huo. Kwa hiyo katika upana wa mada husika, mtu anaweza kusema sio sahihi kuwazuia kujifunza siasa, lakini ni busara kuwaelekeza kutokuwa (ku-practice) wanasiasa muda huu. Ili kwanza msome, mhitimu na kisha mwende kutekeleza kwa ufanisi mlojifunza.
leo hivi dr slaa akienda kusoma UDSM watamkataza siasa?