SINGELI ndio muziki wa Tanzania

Hakuna muziki unaitwa singeli. Hayo ni Yaleangoma ya kienyeji ya kizaramo yadundiko, sifa za muziki unazifahamu? Unafahamu maana ya melody na harmony?
 
Yes mtoa mada ,hawa kenges wa sasa wameharibu muziki wetu wa kitanzania, eti tembo naye anapiga amapiano!!Dj KB naye apige nini?,weka number hapa nikutumie 5000tsh za data, ninawachukia sana hawa kenges walioharibu muziki wangu wa kitanzania na kuishia kupiga midundo ya Harlem na kwa mashu
 
Yes mtoa mada ,hawa kenges wa sasa wameharibu muziki wetu wa kitanzania, eti tembo naye anapiga amapiano!!Dj KB naye apige nini?,weka number hapa nikutumie 5000tsh za data, ninawachukia sana hawa kenges walioharibu muziki wangu wa kitanzania na kuishia kupiga midundo ya Harlem na kwa mashu
Sahihi
 
singeli ni mziki wa wezi, wahuni, wote wasiojielewa, wavuta bangi na wakabaji
anayejielewa hawezi sikiliza ujinga huo
 
singeli ni mziki wa wezi, wahuni, wote wasiojielewa, wavuta bangi na wakabaji
anayejielewa hawezi sikiliza ujinga huo
Ila muziki wa watembea uchi, Watanabe pua, Washington mapumbu, wavaa heleni etc hawa mpo whattsup group moja nao, nhe?
 
Una dalili za kumiliki kisebusebu
Nimesahau pale UDSM ndaki muziki na Sanaa Kuna DK. MAPANA ambaye kwa Sasa ndio bosi wa BASATA nenda akakutofautishie kati ya ngoma za kienyeji na Muziki ( melodic intervals)
 
Nimesahau pale UDSM ndaki muziki na Sanaa Kuna DK. MAPANA ambaye kwa Sasa ndio bosi wa BASATA nenda akakutofautishie kati ya ngoma za kienyeji na Muziki ( melodic intervals)
Unasumbuliwa na ukoloni mamboleo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom