Nenda pale bagamoyo chuo Cha Sanaa au chuo Cha ualimu butimba Mwanza. Unataka elimu niliyosoma.zaidi ya miaka 10 nikueleze kwenye Uzi utaelewa kweliNisaidie SIFA ZA MUZIKI
SahihiYes mtoa mada ,hawa kenges wa sasa wameharibu muziki wetu wa kitanzania, eti tembo naye anapiga amapiano!!Dj KB naye apige nini?,weka number hapa nikutumie 5000tsh za data, ninawachukia sana hawa kenges walioharibu muziki wangu wa kitanzania na kuishia kupiga midundo ya Harlem na kwa mashu
Ila muziki wa watembea uchi, Watanabe pua, Washington mapumbu, wavaa heleni etc hawa mpo whattsup group moja nao, nhe?singeli ni mziki wa wezi, wahuni, wote wasiojielewa, wavuta bangi na wakabaji
anayejielewa hawezi sikiliza ujinga huo
Nimesahau pale UDSM ndaki muziki na Sanaa Kuna DK. MAPANA ambaye kwa Sasa ndio bosi wa BASATA nenda akakutofautishie kati ya ngoma za kienyeji na Muziki ( melodic intervals)Una dalili za kumiliki kisebusebu