Sina furaha, ninatamani kurudi kwa wazazi wangu

I guees mke wa bro havutiwi kuishi kwake, yani kila unachofanya it's like anachunguza, and nahic anafurahi nicpofanikiwa kwa chochote, and anatuona tunashida sana my be tunamtegemea mume wake, and huwa wana ni discuss akiwa na ndugu zake especially Dada na wadogo zake wa kike na mamake, coz wao wote wamefanikiwa na wanakaz bt kwetu only ma bro ndo amefanikiwa ndugu zangu wa2 wamemaliza degree wapo home to jobless, mm majanga siwez kuendelea na chuo cz vigezo walivyoweka vya GPA ya 3.5 mm sina, yani naona maisha magumuuu
HEBU DEAL NA HAYO ULIYOORODHESAH HAPA!
NDYIO YANAYOKUUMIZA!
 
Nenda kasome Diploma si lazima uende chuo kikuu..halafu kinacho kusumbua ndio umekiandika kwenye hii post. Pole sana nilikuuliza ni jinsi gani lakini nimegundua wewe ni mwanaume.

Kasome Diploma hiyo ndio njia ya kwanza kuondokana na hilo tatizo.. Trust me ukianza kusoma hilo tatizo ndio litaanza kupungua.

Kukaa hapo nyumbani kuta kuongezea matatizo maana wanawake kwa kusema au kuongea ni swala la maisha huwa hawaachi.
kweli mwanafunzi angu!
SHIDA IKO HAPA KWENYE HIYO POST ULIYOMQUOTE
 
Nafsi ambayo haina raha utaijua tuu, mi siamini kama wifi yako hapendi uwe hapo ila ww tuu nadhani utakuwa muda mwingi ni mpweke ukiwa hapo home kwa bro wako.
Hebu jichanganye, enjoy life there na mfanye rafiki huyo wifi yako na muda utafika na ww utakuwa na kwako.
 
Back
Top Bottom